hapana chezeaChezeya kudamshi🤣🤣
kwa hiyo hizo ndizo tiketi za kufanya uchafu?unajua diamond platnumz jana kapeleka mtu india kwa matibabu na gharama ni milioni 50
kabla hujamponda jiulize we umechangia shilingi ngapi binadanu mwenzako atibiwe??
unajua kama last week diamond kagawa bima za afya ngapi? na mitaji kwa kina mama wangapi?
unajua hizo hela diamond anazisaka vipi??
vituko kama hivyo anavyopost ndivyo vinaleta hela... maana anapata attention za mashabiki
ohooo Kimoko ndio nani?si kuna taarifa kwamba tayari Dally Kimoko amemtembelea ndio maana Zari akaondoka? Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, Mambo mengi ya kipuuzi anayoyafanya kwa sasa tumsamehe gitaa la Kimoko sio mchezo
wanaume huwa hatukumbuki ma x ,lands wa dar ,mwanaume akipata kapyaa,ukimwambia zari anakusalimu atajib ''ndo nani huyo mwenzangu''Diamond hana Amani tangu waachane na zari pia watu wanampuuza, sasa anafanya huo ujinga kujitaftia Amani ya moyo.akifikiri ana waumiza hamisa na Zari, bora ajiheshimu hamna asiyefanya hyo kitu
Katembelewa na Dali Kimoko.. Hebu fafanua maana yake, maana nimetoka kapasi kuna taarifa kwamba tayari Dally Kimoko amemtembelea ndio maana Zari akaondoka? Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, Mambo mengi ya kipuuzi anayoyafanya kwa sasa tumsamehe gitaa la Kimoko sio mchezo
Mbona una wewe seka kwenye video anayo shikwa yule ni Zari ww ime kuuma nn wao kua pa1 wakati na watoto wamesha zaana ile tunaita kupasha kiporoHaya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .
Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.
Wanampuuza unaushahidi au hivi unayo Insta au unafata mkumbo mbona meme kibao watu wanampost diamond huko kupuuza unakokuongelea wewe ni wapi.Diamond hana Amani tangu waachane na zari pia watu wanampuuza, sasa anafanya huo ujinga kujitaftia Amani ya moyo.akifikiri ana waumiza hamisa na Zari, bora ajiheshimu hamna asiyefanya hyo kitu
Mbona povu babu ?Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .
Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.
Mpiga gitaa wa Congo alitembelea wcb,zari hapendi makelele ya gitaa,ni hivyo tu kiongozi venineKatembelewa na Dali Kimoko.. Hebu fafanua maana yake, maana nimetoka kapa
Babuu ebu niondolee ushamba wako hapa , pesa wanazo wakina Jay z na wametulia na ndoa zao , hata kama wana cheat wanafanya siri siri , Ila waswahili kama nyie na malimbukeni msioenda shule mkipata dunia inakoma
Nadhani amefeli kuna mambo sasa anachukia wanaotoboaUna ugomvi personal na Diamond? kama ndio tafuta namna umuone myamalize,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu,huyo zari hapendi kusikia makelele ya gitaa ila vipi na yeye analo la kwake?Mpiga gitaa wa Congo alitembelea wcb,zari hapendi makelele ya gitaa,ni hivyo tu kiongozi venine
Leo picha haijagoma?Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he has a family now , hata kama ameachana na mama watoto zake , mambo anayoyafanya kwenye mitandao ya kijamii ni fedheha kwa familia yake na kwake mwenyewe . Pengine anaona kaishika serikali mkononi hawana la kumfanya, Ila akumbuke we all reap what we sow, siku atakutana na pigo takatifu ndipo atakapojua kuwa pesa na umaarufu sio kitu .
Kama wazazi wake wameshindwa kumkanya na serikali imeshindwa kumkanya, basi dunia ipo itamfundisha vizuri tu.