Kama ilivyo kwa baadhi ya wanamuziki ambao wanaweza kutoa wimbo na baadae kukaa mwaka mzima bila kutoa nyimbo zingine na bado hizo walizotoa zikaendelea kuwaweka kwenye ulimwengu Wa muziki wasisahaulike, je kwa aina ya Muziki na quality ya vibao vinavyotolewa na Diamond, anaweza kutoa kibao na kukaa mwaka mzima bila kutoa wimbo mwingine na bado nyimbo hizo alizotoa before zikaendelea kumwakilisha vyema na kumfanya asisahaulike kwenye gemu?
Hakuna msanii asitoe nyimbo mwaka mzima halaf awe tu anasikika haiwezekani. Na hata ikiwezekana basi mtu huyo atakuwa diamond kwanini kwa sababu ana fan base kubwa na ana mauzo makubwa. Naamini diamond hata asipotoa nyimbo mwaka mzima bado atauongoza mauzo katika mwaka huo aliokaa kimya kwa kuuza nyimbo zake za zamani
Jitekenyeni tu alafu muendelee kucheka....Sasa hivi anatoa nyimbo mfululizo ila upepo hamuendei vizuri.