Ni rahisi tu mpendwa unakwenda kwa wakili, anakuandikia barua kwenda kwa mkemia mkuu wa serikali kuomba vipimo vifanyike, utakwenda na mtoto, na majibu bi baada ya wiki tatu, kama unaswali waweza uliza nina uzoefu na mambo hayo, malipo ya upimaji ni kama laki tatu kwa vipimo. Kama kuna swali waweza uliza kupitia 0713554254