Hivi Dokii hukuona makosa ya lugha ya kizungu katika wimbo wako?

keshapitwa na wakati, kashindwa kwenye nyimbo za dini sasa kageukia matukio hahaaa wakati ushampa kisogo
 
dokii ni mjasiriamali kweli. Sijui kafaidika vipi na hii ziara
 
Yani mi ananikera kweli... Anavyocheza sasa kama mwehu... Midundo inapiga vingine na miondoko yake inaenda vingine... Upuuzi mtupu

hahahaha daah kumbe umeona eeh ni shida yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…