Shaaban Haufi
Member
- Apr 18, 2014
- 75
- 10
Jamani mi naomba mnisaidie,hivi nikisoma egm nakua niko science au art?
Jamani mi naomba mnisaidie,hivi nikisoma egm nakua niko science au art?
Kwa masomo ya A level, masomo ya Science ni: Chemistry, Physics, Biology; wakati masomo ya Arts ni History, Geography, Civics, Languages. Masomo ya Mathematics na Economics ni mtambuka (cross cutting). Hivyo basi EGM ni ARTS.
Kwa masomo ya A level, masomo ya Science ni: Chemistry, Physics, Biology; wakati masomo ya Arts ni History, Geography, Civics, Languages. Masomo ya Mathematics na Economics ni mtambuka (cross cutting). Hivyo basi EGM ni ARTS.
umekosea eca si mchepuo wa sanaa.nawe pitia vizuri mtaala wa elimu ya sekondari...egm ni sanaa jaamii iliyo na somo moja la sayans i GENARALLY KWA WIZARA YA ELIMU EGM INAKUWA CONSIDERED KWENYE COMBINATION YA ARTS...hivyo lipo katikati,ni sawa na sikuhizi kuna comb ya physics,economics na geographykwa kumaliza kwako kidato cha nne,jambo hili ulipaswa kulijua. Egm ni mchepuo wa sanaa kama zilivyo hgl,hgk,hkl,eca,hge na klf.usitishwe na uwepo wa hesabu.
Jamani mi naomba mnisaidie,hivi nikisoma egm nakua niko science au art?
kwanza hatuna masomo ya art kuna sayansi ya jamii na egm ni sayansi ya jamii (social science)Sasa wadau ntaelewa nini maana wengine wanasema arts,arts 6,social science,general science,wengine ni sayansi vilevile sanaa,ANAYEJUA KIUNDANI BASI ANIELEKEZE!