JOSEPH SAKI
Senior Member
- Jun 28, 2013
- 110
- 16
Wasalaam wanajamvi!
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu jambo hili maana mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasikia watu wakisema siasa imeingizwa kwenye elimu pindi utumbo Fulani(jambo liletalo hasara) unapofanyika kwenye sekta ya elimu! Cha ajabu hata watu wenye kiwango kikubwa cha elimu nao wamekuwa wakisema hivi, nami naomba maoni yenu hivi ni kweli elimu si siasa?
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu jambo hili maana mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasikia watu wakisema siasa imeingizwa kwenye elimu pindi utumbo Fulani(jambo liletalo hasara) unapofanyika kwenye sekta ya elimu! Cha ajabu hata watu wenye kiwango kikubwa cha elimu nao wamekuwa wakisema hivi, nami naomba maoni yenu hivi ni kweli elimu si siasa?