kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 513
Let's be objective on the matter as we contribute kwaajili yaawndeleo ya nchi yetu. Angalieni wahitu wa kidatu cha nne na cha sita, na linganisha na muhitimu wa the same daraja kutoka nchi jirani ie. Zambia, Uganda, Kenya makadharika, tumekwama wapi? Ebu angalieni, mtoto form four au six, acha english, hata masomo mengine, unashangaa anvyo jieleza. Asilimia kubwa wanakua hawawezi kabisa kujieleza hata kujitambua. And these are wapiga kura watarajiwa. Tatizo liko wapi? Wachina wako mbele kwahio tatizo sio English then, so then what is it?