Hivi Emmanuel Okwi kweli ni Mhenga?

lugombonsesi

Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
23
Reaction score
31
Madai ya mashabiki wengi Wa Mpira walimwita Mhenga wakati anasajiliwa, hivi bado hawa Watu wanaweza kumwita mpaka sasa? Kacheza michezo mitano tu lakini ana magori kumi sawa na magori yote waliyofunga Yanga. Wadau kuna mchezaji Kweli Wa kumfikia Okwi hapa Tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…