Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati siyo yeye ila ni maagizo toka systemAache posho kisa nini?
Nkauliza tu
Kama huyu mtu engn n member WA BODI ya LIGI
Kama ndio
Anasubiri nn kujitoa kuwachana na wale
Aiseee tunakazi sanaView attachment 3266395
Hersi hayupo ukiangalia utaonaliona tatizo lilipo. Kolo FC ndio timu ya kwanza Duniani kuhairisha mechi yake na Kagera Sugar sababu ya majeruhi na bodi walitoa taarifa kabla ya masaa mawili ya mechi kuanza.
Hawa wasengee woteee mbwaa kabisaaView attachment 3266395
Hersi hayupo ukiangalia utaonaliona tatizo lilipo. Kolo FC ndio timu ya kwanza Duniani kuhairisha mechi yake na Kagera Sugar sababu ya majeruhi na bodi walitoa taarifa kabla ya masaa mawili ya mechi kuanza.
YangaAache posho kisa nini?
Mtalia sana, Simba alishawahi kuingia uwanjani Yanga wamesusa kisa mechi imesogezwa mbele masaa mawili tu.View attachment 3266395
Hersi hayupo ukiangalia utaonaliona tatizo lilipo. Kolo FC ndio timu ya kwanza Duniani kuhairisha mechi yake na Kagera Sugar sababu ya kuwa na majeruhi wengi na bodi walitoa taarifa kabla ya masaa mawili ya mechi kuanza.
Wazee wa kanunu KOLO FC mnajua ili mechi isogezwe mbele taarifa inatakiwa itolewe ndani ya masaa mangapi?Mtalia sana, Simba alishawahi kuingia uwanjani Yanga wamesusa kisa mechi imesogezwa mbele masaa mawili tu.
Mkafie mbali huko, na bado mtaleta timu siku husika UTOPOLO wakubwa nyie.
wamejitoa ufahamu .......Wazee wa kanunu KOLO FC mnajua ili mechi isogezwe mbele taarifa inatakiwa itolewe ndani ya masaa mangapi?