Hivi foleni inayotokeaga maeneo ya Tegeta huwa inasababishwa na nini?

Hivi foleni inayotokeaga maeneo ya Tegeta huwa inasababishwa na nini?

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,659
Wakuu hivi ile foleni inayotokeaga maeneo ya Tegeta mpaka Bunju huwa inasababishwa na nini? Maana huwa ni kubwa na haiendi. Unaweza kutumia masaa matano kujongea kidogokidigo lakini ukifika mbele karibu na Bunju hukuti kilichosababisha foleni na barabara ni nyeupe kabisa.

Kwa anayejua atufafanulie. Mimi nimewahi kufika nyumbani saa 7 usiku kuanzia saa moja jioni napambana nayo mpaka nikalala kwenye gari lakini foleni haiendi kabisa.
 
Ujuaji wa madereva kila mtu anataka kuwahi mwisho wa siku wote mnabaki hapohapo
 
Back
Top Bottom