Juma WALEO
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 204
- 40
Bundala,roy,groly Walikuwa watangazaji mahiri sana pale redio free ila sasa siwasikii kwa anayejua walipo anijuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Glory yuko chuo anasoma
RFA vichwa vingi vya maana vimeondoka..
Namkumbuka san loy m maganga....2002..alinisaidia kusoma mpk saa tisa usiku...ili nisuir simuliz zake saa 7 usiku...nikiwa Advanced.pale nyegezi seminary.
TBC ipi mbona sijamsikiaRoy Mlaliki Maganga yupo TBC
[emoji134] [emoji134] [emoji134]Wako pale Kigoma mwanga kwa mchaga wanapiga bodaboda.
Yupo ni muandaaji wa vipindi na matangazoTBC ipi mbona sijamsikia
Napenda sana wanavyokuwa wanashirikiana na mkewe babysky kwenye chanel yao ya dizzim online.Fredrick Bundala (Sky Walker) nadhani yupo Dizzim Online (youtube channel). Fungua hapo utamkuta
chanel ya wasafi hiyoNapenda sana wanavyokuwa wanashirikiana na mkewe babysky kwenye chanel yao ya dizzim online.
Unaitwa nani we jamaa, mimi nilikuwa RECTOR WAKO. Fr. Nhindilo.Namkumbuka san loy m maganga....2002..alinisaidia kusoma mpk saa tisa usiku...ili nisuir simuliz zake saa 7 usiku...nikiwa Advanced.pale nyegezi seminary.