Hivi gari hizi XTRAIL zipoje?

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Nazipenda shape yake lakini sijui uimara wake,ulaji wa mafuta na urahisi wa spea kupatikana
Msaada wenye kujua hili wakuu
 
na
Nazipenda shape yake lakini sijui uimara wake,ulaji wa mafuta na urahisi wa spea kupatikana
Msaada wenye kujua hili wakuu
nahitaji ya kutembelea
 
Nazipenda shape yake lakini sijui uimara wake,ulaji wa mafuta na urahisi wa spea kupatikana
Msaada wenye kujua hili wakuu
Ni gari nzuri, comfortable, spea zake ziko available, ulaji wake wa mafuta ni wa kawaida hauko juu wala si wa chini, stability yake ni kubwa sana ikiwa kwenye mwendokasi tatizo ni gharama za service ziko juu, spea zake ni ghali sana, tatizo lingine Nissan Xtrail zinawasumbua sana mafundi wa mitaani maana system ya injini yake iko too much electronically ile kwa gereji yenye vifaa vya kisasa huwezi pata shida.
Ushauri kama unahitaji gari chukua Harrier. Unaweza kuchagua model kulingana na uwezo wako kiuchumi hata hivyo Harrier zote bado ni nzuri.
Iwapo uwezo wako uko chini chukua RAV 4 old model hutajuta kuinunua hiyo gari iko cost effective.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…