Wizzo, una uhakika na unachokinena?
nilikua hapa mitaa ya shule moja ya secondary,nimeona gari nne landcruiser zimeleta mitihani nkajiuliza kuna haja gani kuchoma mafuta kwa gari nne kisa mitihani? Hii inji tutaendelea kua masikini kwasbb kila aliye na ofisi ni mwizi
Duuuh kweli tulikofikia sasa hali mbaya! Hatuna imani na chochote tena!
Yaani wewe kuona gari 4 zimeongozani ulishajua kuwa tayari mitihani imeletwa. Je kama kulikuwa na issue nyingine hao wahusika wamelazimika kukutana hapo na kupeana mikakakti 'wanajua wenyewe' kabla ya kila mmoja kuchukua uelekeo wake.
Hivi unapopanga kukutana na rafiki zako mahali huwa mnatumia gari moja?
Pengine una hoja ila kwajinsi ulivyowasilisha hukujenga hoja ili wasomaji wengine tukubaliane na wewe kwenye kwa hilo.