Pre GE2025 Hivi Gen Z wa Tanzania wanajua hata kama kuna zoezi la kujiandikisha kupiga kura linaendelea nchi nzima? Tume ina mpango gani?

Pre GE2025 Hivi Gen Z wa Tanzania wanajua hata kama kuna zoezi la kujiandikisha kupiga kura linaendelea nchi nzima? Tume ina mpango gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Jana nilikuwa kwenye ile page ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Mpaka sasa hii tume imeshapita Zanzibar, Arusha, Pwani, Songwe, Ruvuma na Rukwa na kuanzia Machi 1 wataanza kuandikisha wapiga kura huko Mkoani Morogoro.

Kwa namna ambavyo nawaona Gen Z (watu waliozaliwa 1997 - 2012) yaani ni kama hawajui kinachoendelea kabisa.

Wengi wao ukiwafuata kuwauliza, hawana hata habari kwamba kuna mchakato unaoendelea wa kujiandikisha na kuboresha taarifa zako kwenye daftari la mpiga kura

inec.png

Hii process ni kama wamejitenga nayo. Focus ipo kwa harusi ya Aziz Ki na Hamisa, Ali Kamwe kumjengea nyumba mama yake na penzi la Diamond na yule dada wa kuitwa Rita.

Soma pia: Fatma Karume atamani Watanzania Wangekuwa na Ufahamu kama Gen Z wa Kenya

Yaani a typical Tanzanian Gen Z hajui, haelewi na hana taarifa zozote kuhusu mchakato wa kuboresha taarifa zake ili aweze kupiga kura mwezi Oktoba


Hata ukiangalia picha ambazo zinapostiwa kwenye Instagram ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wengi wanaojiandikisha ni wazee na watu wazima.

Bora hata zamani kulikuwa na ufuatiliaji kidogo kwa sababu, kile kitambulisho cha mpiga kura kilikuwa kinatumika kwenye matumizi mengine pia kama kufungua akaunti za benki n.k lakini sasa hivi mtu anaona namba ya NIDA anayo, yaani hajisumbui kabisa kufuatilia kuhusu kitambulisho.

Ushauri kwa tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Kama kweli mnataka Gen Z wajiandikishe acheni kutumia TBC na Channel Ten kutangaza shughuli zenu. Anzeni kupeleka matangazo yenu pale Bongo Trending, Simulizi na Sauti, Rick Media na media nyingine ambazo zinafuatiliwa na vijana.
 
Huwa nashangaa sana watu wakiwaponda hawa vijana wadogo utadhani walijizaa wenyewe. Hakuna sahihi yoyote ya Gen Z kwenye mikataba ya kifisadi... hakuna Gen Z aliyekuwepo bungeni na kutunga sheria nyingi za hovyo... hakuna Gen Z aliyehusika kwenye michakato ya kusimamisha wagombea wasio na sifa kwenye chaguzi zilizopita... tusiwabebeshe makosa yetu. Hawa vijana hawana tatizo na mtu.
 
Huwa nashangaa sana watu wakiwaponda hawa vijana wadogo utadhani walijizaa wenyewe. Hakuna sahihi yoyote ya Gen Z kwenye mikataba ya kifisadi... hakuna Gen Z aliyekuwepo bungeni na kutunga sheria nyingi za hovyo... hakuna Gen Z aliyehusika kwenye michakato ya kusimamisha wagombea wasio na sifa kwenye chaguzi zilizopita... tusiwabebeshe makosa yetu. Hawa vijana hawana tatizo na mtu.
Uko sahihi....tunataka kukikimbia kivuli chetu.
 
Huwa nashangaa sana watu wakiwaponda hawa vijana wadogo utadhani walijizaa wenyewe. Hakuna sahihi yoyote ya Gen Z kwenye mikataba ya kifisadi... hakuna Gen Z aliyekuwepo bungeni na kutunga sheria nyingi za hovyo... hakuna Gen Z aliyehusika kwenye michakato ya kusimamisha wagombea wasio na sifa kwenye chaguzi zilizopita... tusiwabebeshe makosa yetu. Hawa vijana hawana tatizo na mtu.

Sasa watawaondoaje hao mafisadi kama hawaendi kupiga kura?

Unataka waingie mtaani?
 
Wakuu,

Jana nilikuwa kwenye ile page ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Mpaka sasa hii tume imeshapita Zanzibar, Arusha, Pwani, Songwe, Ruvuma na Rukwa na kuanzia Machi 1 wataanza kuandikisha wapiga kura huko Mkoani Morogoro.

Kwa namna ambavyo nawaona Gen Z (watu waliozaliwa 1997 - 2012) yaani ni kama hawajui kinachoendelea kabisa.

Wengi wao ukiwafuata kuwauliza, hawana hata habari kwamba kuna mchakato unaoendelea wa kujiandikisha na kuboresha taarifa zako kwenye daftari la mpiga kura


Hii process ni kama wamejitenga nayo. Focus ipo kwa harusi ya Aziz Ki na Hamisa, Ali Kamwe kumjengea nyumba mama yake na penzi la Diamond na yule dada wa kuitwa Rita.

Soma pia: Fatma Karume atamani Watanzania Wangekuwa na Ufahamu kama Gen Z wa Kenya

Yaani a typical Tanzanian Gen Z hajui, haelewi na hana taarifa zozote kuhusu mchakato wa kuboresha taarifa zake ili aweze kupiga kura mwezi Oktoba


Hata ukiangalia picha ambazo zinapostiwa kwenye Instagram ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wengi wanaojiandikisha ni wazee na watu wazima.

Bora hata zamani kulikuwa na ufuatiliaji kidogo kwa sababu, kile kitambulisho cha mpiga kura kilikuwa kinatumika kwenye matumizi mengine pia kama kufungua akaunti za benki n.k lakini sasa hivi mtu anaona namba ya NIDA anayo, yaani hajisumbui kabisa kufuatilia kuhusu kitambulisho.

Ushauri kwa tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Kama kweli mnataka Gen Z wajiandikishe acheni kutumia TBC na Channel Ten kutangaza shughuli zenu. Anzeni kupeleka matangazo yenu pale Bongo Trending, Simulizi na Sauti, Rick Media na media nyingine ambazo zinafuatiliwa na vijana.
Serikali inanajisiwa sana na CCM hawataki kutangaza sana hili zoezi kwa sababu wakitangaza sana vijana wengi wata hamasishana mwisho wa siku nguvu ya vijana itawaathiri hlndio maana zoezi linaemda kimya kimya
 
Sasa watawaondoaje hao mafisadi kama hawaendi kupiga kura?

Unataka waingie mtaani?
Nyie mliowazaa ndo miongoni kuna mafisadi. Na pia ninyi wazazi wao mlifanya nini mkiwa kwenye umri wao kuwaondoa hao mafisadi? Makosa yenu msiwape wasio na hatia
 
Wakuu,

Jana nilikuwa kwenye ile page ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Mpaka sasa hii tume imeshapita Zanzibar, Arusha, Pwani, Songwe, Ruvuma na Rukwa na kuanzia Machi 1 wataanza kuandikisha wapiga kura huko Mkoani Morogoro.

Kwa namna ambavyo nawaona Gen Z (watu waliozaliwa 1997 - 2012) yaani ni kama hawajui kinachoendelea kabisa.

Wengi wao ukiwafuata kuwauliza, hawana hata habari kwamba kuna mchakato unaoendelea wa kujiandikisha na kuboresha taarifa zako kwenye daftari la mpiga kura


Hii process ni kama wamejitenga nayo. Focus ipo kwa harusi ya Aziz Ki na Hamisa, Ali Kamwe kumjengea nyumba mama yake na penzi la Diamond na yule dada wa kuitwa Rita.

Soma pia: Fatma Karume atamani Watanzania Wangekuwa na Ufahamu kama Gen Z wa Kenya

Yaani a typical Tanzanian Gen Z hajui, haelewi na hana taarifa zozote kuhusu mchakato wa kuboresha taarifa zake ili aweze kupiga kura mwezi Oktoba


Hata ukiangalia picha ambazo zinapostiwa kwenye Instagram ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wengi wanaojiandikisha ni wazee na watu wazima.

Bora hata zamani kulikuwa na ufuatiliaji kidogo kwa sababu, kile kitambulisho cha mpiga kura kilikuwa kinatumika kwenye matumizi mengine pia kama kufungua akaunti za benki n.k lakini sasa hivi mtu anaona namba ya NIDA anayo, yaani hajisumbui kabisa kufuatilia kuhusu kitambulisho.

Ushauri kwa tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Kama kweli mnataka Gen Z wajiandikishe acheni kutumia TBC na Channel Ten kutangaza shughuli zenu. Anzeni kupeleka matangazo yenu pale Bongo Trending, Simulizi na Sauti, Rick Media na media nyingine ambazo zinafuatiliwa na vijana.
Hebu tuondolee hapa mambo ya kuigaiga Gen Z ndio nini? sema mtanzania alitimiza miaka 18 muache shobo za kushobokea wa Kenya na misamiati ya kipumbavu. Hao wazungu wenyewe huwasikii wakiongelea huo ujinga.
 
Inawezekana kweli kwakuwa wao gen Z ndo wapo bungeni na ndo waliouza Bandari na kusimamia mikataba fake pamoja na kuusika katika big scandalous like Richmond , Escrow , Epa and other some shit stuff 🥤
 
Nimemsikia mtu akisema amejiandikisha apate kitambulisho maana kina muonekano mzuri na wala hana mpango wa kupiga kura.
 
Waliandaliwa kuwa hivyo na wazazi pamoja na ccm. Mtaji wa ccm huo.
 
Elimu imewakomboa kwa madali yao. Wapo bize kujitafuta ili wakaishi Dar
 
Hebu tuondolee hapa mambo ya kuigaiga Gen Z ndio nini? sema mtanzania alitimiza miaka 18 muache shobo za kushobokea wa Kenya na misamiati ya kipumbavu. Hao wazungu wenyewe huwasikii wakiongelea huo ujinga.

Hasira za kuzeeka hizo.
 
Back
Top Bottom