tawa driller
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 296
- 152
same to youShe's some lowlife scum.
same to you
Kv mimi co mfuasi wa makalio basi namuona yupo chini ya mstari wa msichana wa kawaida!Ila tuweke utani pembeni, huyu dada ni wa kawaida sana, sioni upekee wowote ule hapo!
Anawenzake wanaakili kama zake wao wanapiga mapicha ya ajabu na kupost mitandaoni
Usilitaje jina la muumba wako bure..Wakuu hii naapa kwa jina la mungu,
Kuna jina linatrend sana kwenye social netwek la mwanamke anaeitwa Giggy Money. Hivi huyu dada ni nani hasa au amefanya jambo gani kubwa kwani mbona watu wanamuongelea sana mitandaoni,??
Hakia mungu simjui zaidi ya kusoma nyuzi za watu zinazoongelea huyu mtu,anaemjua anijuze
NB: Kumbuka kuuliza si ujinga,na aulizae basi anataka kujua
Tatizo kubwa la Gigy ni kunuka jasho ukikaa nae katibu utagundua hilo ana kaharufu flani hivi cha jasho,mwenyewe anajitahidi kitumia unyunyu mkali but wapi harufu haikati,kwa wale ambao wamewahi kukaa nae karibu wanalijua hili.wewe unayesema humujui huyo wapo mtoto
Yeah ni wakawaida sana anajipaisha tu na mipicha yake ya utupu
Leo nimemsikia Clouds fm akielezea historia yake kama ile ndio kweli historia yake basi ana haki ya kufanya hayo anayoyafanya wala simlaumu.
Lakini ana mgongo wa kuhamasisha mambo yetu yalee...Yeah ni wakawaida sana anajipaisha tu na mipicha yake ya utupu
hahahahahaaa!duh! taratibu mkuu wengine tupo kene daladala tumesimama na suruali za kitambaa