brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Msanii King Crazy GK aliyetamba na ngoma zake kama vile sister sister na sauti ya Manka ambaye alitikisa vilivyo na style yake ya kuchana ingawa alikuwa na kigugumizi
Ila kwa sasa GK wa sasa hivi siyo yule wa kipindi kile maana hata style ya uimbaji pia nayo kabadilisha kwa kuwa sasa hivi achani tena bali anabana pua
Sasa bhana kioja alichokionesha bwana mdogo eti naye anataka alipwe pesa si chini ya millioni 30 kwa show moja
Nimemshangaa kweli yaan, maana ki wimbo chenyewe alichoimba sasa hivi cha mzuri pesa hakijabamba kiviile alafu eti ndio anataka alipwe kiasi chote hicho cha pesa?? Hawezi akawa serious hata kidogo ,huyo shetta ana ngoma kali kichizi lakini kwa show analipwa millioni 10 siku nyingine mpaka 5 anachukua sembuse yeye??
Ushauri wa bure asikimbilie suti kabla hajavaa nepi ,yeye bado sana kulipwa mpunga unaokaribia karibia anaolipwa Diamond platnums AKA Simba Jini
Ila kwa sasa GK wa sasa hivi siyo yule wa kipindi kile maana hata style ya uimbaji pia nayo kabadilisha kwa kuwa sasa hivi achani tena bali anabana pua
Sasa bhana kioja alichokionesha bwana mdogo eti naye anataka alipwe pesa si chini ya millioni 30 kwa show moja
Nimemshangaa kweli yaan, maana ki wimbo chenyewe alichoimba sasa hivi cha mzuri pesa hakijabamba kiviile alafu eti ndio anataka alipwe kiasi chote hicho cha pesa?? Hawezi akawa serious hata kidogo ,huyo shetta ana ngoma kali kichizi lakini kwa show analipwa millioni 10 siku nyingine mpaka 5 anachukua sembuse yeye??
Ushauri wa bure asikimbilie suti kabla hajavaa nepi ,yeye bado sana kulipwa mpunga unaokaribia karibia anaolipwa Diamond platnums AKA Simba Jini