Hivi haiwezekani club ya yanga ikaandikishwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF)?

Hivi haiwezekani club ya yanga ikaandikishwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF)?

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
1,199
Reaction score
1,346
Wakuu na wadau wa soka naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa club yetu kubwa ya yanga afrikani kuandikishwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini nchini (TASAF).

Kwani kwa kufanya hivyo kutaweza kuinusuru timu yetu kuingia kwenye ukata wa kupindukia.

Sifa za mtu kujiunga na mfuko wa kunusuru kaya masikini tasaf zikoje wakuu?. Kama zinaendana na zile za yanga ni vizuri club ikaunganishwa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu na wadau wa soka naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa club yetu kubwa ya yanga afrikani kuandikishwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini nchini (TASAF).

Kwani kwa kufanya hivyo kutaweza kuinusuru timu yetu kuingia kwenye ukata wa kupindukia.

Sifa za mtu kujiunga na mfuko wa kunusuru kaya masikini tasaf zikoje wakuu?. Kama zinaendana na zile za yanga ni vizuri club ikaunganishwa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap, mana kuna sms za watu wasiojulikana wanakwambia tuma ile pesa kwenye namba hii jina Njopino Michael ile namba yangu imefungiwa, sio hawa jamaa wa jangwani kweli?😴
 
Inawezekana..Na huenda wakatulia na kuacha kuhamahama kushangilia kila timu.
 
Wastahi bhana! Huo ni upepo tu utapita.
 
Wakuu na wadau wa soka naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa club yetu kubwa ya yanga afrikani kuandikishwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini nchini (TASAF).

Kwani kwa kufanya hivyo kutaweza kuinusuru timu yetu kuingia kwenye ukata wa kupindukia.

Sifa za mtu kujiunga na mfuko wa kunusuru kaya masikini tasaf zikoje wakuu?. Kama zinaendana na zile za yanga ni vizuri club ikaunganishwa huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mtani. Katika Yanga ninaowaheshimu mmojawapo ni wewe.
Ni utani tu mtani. Take it as it is Utani.
Kwani huko Simba wana nini ?! Pesa si za MOH Dewji !! Simba wana nini cha kuwabeza Yanga ?!.

Ila hongereni kwa ushindi na hatua mlioyoifikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umewaza mbali sana.....

Yanga inahitajika kunusiriwa haraka iwwzekanavyo
 
si wanaumoja wao unaitwa umoja wa kina mama wacheza rede(umaware) na wana mfuko wao uwasaidieee
 
Back
Top Bottom