Habarini za mida wana JF.
Hivi ulishawahi ku note hiki kitu hasa kwa wanaume, ulishawahi kuwa unapita maybe kwenye njia fulani halafu uko na wenzio au kuna watu wanakuja either mbele yako au nyuma yako ghafla ukabanwa na haja ndogo.
Wakati unaamua kujisaidia pembeni, wengine nao wanajisaidia! Au mko shambani mnalima wewe ukaamua kujisaidia ghafla na mmoja wapo au kama sio wote na wao wanajisaidia.
Hivi kuna sababu gani unayopelea watu kushikwa haja ndogo kwa wakati mmoja hususan mnapokuwa pamoja?
Sent using
Jamii Forums mobile app