G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Lete huo ukabwili nikuoneshe kazi!Utakuta na wewe ni mwanaume
Imekuingia Sana!Embu tafuta pesa uwanunulie ndugu zako hata malapa huko vijijini waache kutembea peku, achana na mambo ya watu
wewe tuonyeshe hizo pesa ulizotafutaEmbu tafuta pesa uwanunulie ndugu zako hata malapa huko vijijini waache kutembea peku, achana na mambo ya watu
Na angekuwa na pesa asinge changia Uzi wa mtu ambye Hana pesa mkuu!wewe tuonyeshe hizo pesa ulizotafuta
Au atuoneshe lisiti ya mchango wa 29,000wewe tuonyeshe hizo pesa ulizotafuta
Mmempatia kweli mkuu!Au atuoneshe lisiti ya mchango wa 29,000
Hivi mliingia na boti ya saa ngpi?Vijiwe vya Gahawa siku hizi vimekuwa vingi sana
mbona anatembea anabana makalio
Labda injinia hesi ametekeleza ile kauli mbiu ya mwiko nyumambona anatembea anabana makalio
We huoni Rangi ya Hilo shati?!mbona anatembea anabana makalio
Manara yupo sana,mtajamba checheYanga mmefanya kitu kizuri Sana Kwa kumzuia huyu domo bwaku kutoongelea maswala ya Yanga.
Ndo anazidi kuporomoka hivyo, siku hizi hawezi posti chchte, amebaki msemaji wa GSM tu, Hongera Sana Bumbuli. Likae hivyo hivyo na liendelee kukosa air time!
Likae hivyo hivyo na liendelee kukosa air time![emoji23]Yanga mmefanya kitu kizuri Sana Kwa kumzuia huyu domo bwaku kutoongelea maswala ya Yanga.
Ndo anazidi kuporomoka hivyo, siku hizi hawezi posti chchte, amebaki msemaji wa GSM tu, Hongera Sana Bumbuli. Likae hivyo hivyo na liendelee kukosa air time!