Hivi hakuna ahsante nyingine?

Unataka kunieleza kwamba jamaa alifungwa mikono na miguu asiondoke eneo na tukio
Unataka kujidai haujui kwamba jamaa hakujua kuwa anatekwa kuanzia kupigwa simu ya kuitwa hadi alivyomtuliza bibie "gambani" na kuishia kwenye "soft-touches" zilizoleta kilio cha kugugumia kwa raha?
 
Disaster kwenye HATIA II alisema "kimsingi nawe ulitaka"
 
Wanaume tunapenda ngono kuliko chakula hivyo wakina dada wanatupa tunachopenda wakijua ndio tunafurahia zaidi
Mkuu, komenti yako imenifanya niwaze sana, huenda ikanifanya nibadili mtazamo...

Kwa muda wa miaka mingi, nimekuwa na mtazamo kwamba, "Mwanamke hana kitu kingine cha kutoa zaidi ya mwili wake" ( A woman has nothing to offer other than sex). Hizi asante alizosema mleta mada nimetunukiwa sana, nikawa naamini hivyo... Lakini, huenda labda ninahitimisha kimakosa, huenda sio kweli kuwa hawana kingine cha kutoa isipokuwa wanatupa hicho kwa kuamini kuwa ndicho tunachokipenda zaidi?!
 
Nipo urusi lakini nmesweat pole bana naona umebakwa nenda kituo chochote cha polisi kilichopo mbali nawe ukaripoti
 
Vyakutoa vipo mkuu lakini wanaangalia kipi kitapendwa au kumfurahisha mpokeaji, jibu la hapo ni mwili na ndio ukweli ulivyo
 
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi wallah....[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Sijui nifanye nini? Sielewi nini hiki kimenitokea, sina amani ya roho na mwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…