Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Christianity borrowed its central myths and ceremonies from other ancient religions so did it's mother figure 'evil Judaism.
The ancient world was rife with tales of virgin births, miracle-working saviors, tripartite gods, gods taking human form, gods arising from the dead, heavens and hells, and days of judgment. In addition to the myths, many of the ceremonies of ancient religions also match those of that syncretic latecomer, Christianity. To cite but one example (there are many others), consider Mithraism, a Persian religion predating Christianity by centuries. Mithra, the savior of the Mithraic religion and a god who took human form, was born of a virgin; he belonged to the holy trinity and was a link between heaven and Earth; and he ascended into heaven after his death. His followers believed in heaven and hell, looked forward to a day of judgment, and referred to Mithra as "the Light of the World." They also practiced baptism (for purification purposes) and ritual cannibalism—the eating of bread and the drinking of wine to symbolize the eating and drinking of the god�s body and blood. Given all this, Mithra's birthday should come as no surprise: December 25th; this event was, of course, celebrated by Mithra�s followers at midnight.

Mithraism is but the most striking example of the appearance of these myths and ceremonies prior to the advent of Christianity. They appear—in more scattered form—in many other pre-Christian religions.
 
Maswali yanakuwa mepesi inategemea na aina ya mtazamo,wewe umeleta habari za miungu ya afrika kuwa ndio ina sababisha hayo.
 
Ilitakiwa uwe na ushahidi wa hayo unayo nifungamanisha nayo

Hiyo miji unayonitajia naifahamu kwa kuisikia Tu_sijawahi kwenda wala kutarajia

Halafu mizimu ndio nini.?

Na sadaka pia..!?
mizimu ni roho, Mungu ndio mzimu mkuu wa mizimu tote
sadaka ni zile tunawaomba tujenge nyumba yetu ya ibada asilia, na mje kuabudu humo,mjitoe kama mnavyojitoa kujenga misikiti na makanisa, na tazama, Africa itainuka
 
Maswali yanakuwa mepesi inategemea na aina ya mtazamo,wewe umeleta habari za miungu ya afrika kuwa ndio ina sababisha hayo.
Cam'on mbogo, you can be better than that..
 
Nimekuelewa sana
 
Ukiona wanakushikia upanga na bunduki, ili uamini wanachokwambia,ogopa sana
kweli hujifunua yenyewe
Ukweli na imani pia ni vitu viwili tofauti,ndio maana utaona sehemu fulani inajulikana kuwa na imani fulani basi na vizazi vyao pia hufuata imani hiyo hiyo na kuiamini hata kama hiyo imani ni uongo.

Na hakuna anayeweza kukulazimisha kuamini hata akikutishia kuwa utapata laana za mababu zako au miungu yako asili.
 
mizimu ni roho, Mungu ndio mzimu mkuu wa mizimu tote
sadaka ni zile tunawaomba tujenge nyumba yetu ya ibada asilia, na mje kuabudu humo,mjitoe kama mnavyojitoa kujenga misikiti na makanisa, na tazama, Africa itainuka
Iyo tabia kufungiwa ndani na watu fulani kwa malengo yao_ 'kwangu haina mashiko'

Iwe ni kanisani,misikitini sijui kwenye nyumba ipi

Mimi mwili wangu ndio nyumba yangu na naijenga kwa misosi mingi

Kwa ufupi _Sadaka najitolea mwenyewe

Na kama mzimu ni roho(kulingana na tafsiri yako) basi kila kiumbe ni mzimu

Hivyo hakuna sababu ya kuminyana
 
Kuminyana ndio kitu gani???
 
Wewe unahitaji huduma ya ziada....nitafute pm
 
Lakini unakubali gereza la sinagogi,kanisa na msikiti??? Tukikwambia hekalu la ibada asilia unakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…