Naloli JF-Expert Member Joined Aug 26, 2010 Posts 416 Reaction score 81 Apr 22, 2011 #1 Wana JF naomba kuuliza hivi hakuna daktari wa magonjwa ya kiume, maana nasikia madaktari wa magonjwa ya kina mama na watoto tu?
Wana JF naomba kuuliza hivi hakuna daktari wa magonjwa ya kiume, maana nasikia madaktari wa magonjwa ya kina mama na watoto tu?
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,282 Reaction score 117,244 Apr 22, 2011 #2 yaani wanajiita eti mabingwa wa magonjwa ya wanawake wakati wengi wao ni madume yenye tamaa na wake za watu... na unawalipa pesa kumvua nguo mkeo....
yaani wanajiita eti mabingwa wa magonjwa ya wanawake wakati wengi wao ni madume yenye tamaa na wake za watu... na unawalipa pesa kumvua nguo mkeo....
Dumelambegu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 1,052 Reaction score 257 Apr 22, 2011 #3 Mabingwa wa kuvua chupi za akina dada. Hawana lolote hao.
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Apr 22, 2011 #4 Wale wanaojitangaza kuongeza ukubwa wa mambo au kusaidia mambo kufanya kazi vizuri nadhani wana umaarufu kuliko hata hawa wa wanawake..
Wale wanaojitangaza kuongeza ukubwa wa mambo au kusaidia mambo kufanya kazi vizuri nadhani wana umaarufu kuliko hata hawa wa wanawake..
njiwa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2009 Posts 13,144 Reaction score 6,942 Apr 22, 2011 #5 wapo.... ndio hao hao ma urologist ! "huku twawaita Dick doctors" nasikia bongo ni HOT CAKE... i might go for it
wapo.... ndio hao hao ma urologist ! "huku twawaita Dick doctors" nasikia bongo ni HOT CAKE... i might go for it