Hivi hakuna mashindano ya mawazo? Nahitaji kukuza mtaji

clinton gidioni

Senior Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
145
Reaction score
165
Habari wana JF,

Husika na kichwa cha habari kinavyosema maana nina biashara nahitaji kujua mtaji wangu.
 
Habari wanajf husika na kichwa cha habari kinavyosema maana nina biashara nahitaji kukuza mtaji wangu
niliwahi kuanzisha wazo hapa jf juu ya hilo mwaka jana, ila wengi ambao wapo humu hawapo serious. Nimeliweka pending, cku nikimaliza project zngu ntalishusha hapa jf. Stay tuned.
 
Habari wanajf husika na kichwa cha habari kinavyosema maana nina biashara nahitaji kukuza mtaji wangu
niliwahi kuanzisha wazo hapa jf juu ya hilo mwaka jana, ila wengi ambao wapo humu hawapo serious. Nimeliweka pending, cku nikimaliza project zngu ntalishusha hapa jf. Stay tuned.
 
Nikweli nilikutana na tapeli mmoja humu akaniibia ujuzi na kunipotezea mda.
 
Tengeneza kipato cha Ziada Kwa kupata kitabu maalumu kitakacho kufanya ujue kutengeneza bidhaa mbali mbali muhimu za viwamdani nyumbani kwako na uweze kujiajiri. Kitabu hicho utakipata Kwa bei ya TSh.5,000 tu! Katika email au whatsup yako. Nipigie au whatsup 0762208190 AU 0718978295. Utachagua unacho taka kujiajiri kitaalam kupitia kitabu hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…