Hivi hakuna sheria inayonilinda dhidi ya SMS na Calls za matangazo kutoka kwenye kampuni za simu?

Hivi hakuna sheria inayonilinda dhidi ya SMS na Calls za matangazo kutoka kwenye kampuni za simu?

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Ilifikia hatua ikabidi nizoee, kushtuliwa kwa simu kuita kwa namba ngeni kisha nikipokea naskia robo calls/automated calls za matangazo either ya kunishawishi kujiunga na ringtones n.k, SMS ndio nyingi kila mara. Ni kero kubwa ambayo wengi inawapata.

Cha ajabu zaidi, leo imepigwa simu kutoka Airtel na kwenye screen inaonyesha contact name iliyoko kwenye simu yangu, yaani mfano" My wife: Calling". Hiyo contact ni mtu anayenidai.

Kwakweli moyo uliniruka vibaya, ila ikabidi nipokee tu, mara naskia "Karibu Airtel..." nikaanza kusikilizishwa nyimbo mfululizo, nilitamani niipasue simu yangu.

Hakuna sheria inayonilinda dhidi ya huu ufedhuli?
 
Mi mwenyewe huwa naboreka sana tu hizo calls na sms zao za KIPUUZI!
 
Ilifikia hatua ikabidi nizoee, kushtuliwa kwa simu kuita kwa namba ngeni kisha nikipokea naskia robo calls/automated calls za matangazo either ya kunishawishi kujiunga na ringtones n.k, SMS ndio nyingi kila mara. Ni kero kubwa ambayo wengi inawapata.

Cha ajabu zaidi, leo imepigwa simu kutoka Airtel na kwenye screen inaonyesha contact name iliyoko kwenye simu yangu, yaani mfano" My wife: Calling". Hiyo contact ni mtu anayenidai.

Kwakweli moyo uliniruka vibaya, ila ikabidi nipokee tu, mara naskia "Karibu Airtel..." nikaanza kusikilizishwa nyimbo mfululizo, nilitamani niipasue simu yangu.

Hakuna sheria inayonilinda dhidi ya huu ufedhuli?


umeuliza jambo la msingi sana,, mitandao ya sm inakera sana
 
Hasa Vodacom. Imefika hatua wanachukua uwakala wa matangazo ya Bayport. Kuna siku nilitumiwa sms. Inakerza sana!
 
Ilifikia hatua ikabidi nizoee, kushtuliwa kwa simu kuita kwa namba ngeni kisha nikipokea naskia robo calls/automated calls za matangazo either ya kunishawishi kujiunga na ringtones n.k, SMS ndio nyingi kila mara. Ni kero kubwa ambayo wengi inawapata.

Cha ajabu zaidi, leo imepigwa simu kutoka Airtel na kwenye screen inaonyesha contact name iliyoko kwenye simu yangu, yaani mfano" My wife: Calling". Hiyo contact ni mtu anayenidai.

Kwakweli moyo uliniruka vibaya, ila ikabidi nipokee tu, mara naskia "Karibu Airtel..." nikaanza kusikilizishwa nyimbo mfululizo, nilitamani niipasue simu yangu.

Hakuna sheria inayonilinda dhidi ya huu ufedhuli?


Kwa bahati mbaya hakuna kwa sasa mkuu.
Ila kama sheria ya Cyber itafanyiwa marekebisho basi inawezekana mambo yakawa tofauti
 
Back
Top Bottom