Hivi hakuna surgery ya kupunguza upana? Maana hata mazoezi ya kegel yamedunda

usinikumbushe mashine moja niliwahi kutana nayo enzi zangu, aisee sikuielewa hadi leo na huwa haitoki kichwani mwangu. nilitembea sana na wanawake waliozaa lakini sikuwahi kutana na ile kitu ya aina ile ilikuwa ya aina yake aisee. labda kama umezaa, wakati mwingine manesi roho mbaya huwa hawashoni vizuri. mimi mama watoto wangu nilikuwa karibu mno na manesi wananishonea mchanuko, nilisikia kabisa wanasema "tengeneza chakula cha baba icho" wakashona ikawa inabana kuliko hata kabla hajazaa. wanawake tunatakiwa kuwaheshimu sana.

ila kama wewe imetepeta kwa kubanduliwa na hujawahi hata kuzaa, hapo hangaika nayo tu kama nung'ayembe. na utaachwa sana mwisho uombwe hata ndogo kama mbadala, na utatoa tu kwasababu mashine pana huwa inakinai balaa. hilo liwe fundisho kwa wadogo zako wanaojifanya kubadilisha wanaume siku hizi.
 
Mpaka mada hii inaletwa jua kuna njemba kadhaa zimepoteza game kwa knock out. Mleta mada ungeeleza pia sababu za kupanuka huko kuliko kuleta mada na kutokomea.
 
Kila siku unashinda kule kwenye siasa unamtukana hayati Jpm kumbe una K pana?
 
Pumzika miezi6 bila kufanya
Tumia limao kipindi chote cha mapumziko
Ukimaliza tulizana bwana mmoja usidange

Sasa kama ni kupana,sajari si ndio itaongezea ukubwa wa shimo?tumia njia za asili tu zitakusaidia achana na kuchanana chanana.
 
Sasa kuna uhusiano gani kati ya uwezo mkubwa wa kiuchumi na upana wa shimo lako??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…