Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Naona CCM inatumia nguvu nyingi sana kusajili wanasiasa wazuri kutoka CHADEMA .
Ni wazi CHADEMA kuna vichwa , Nadhani ni vyema 2025 waangane tupate viongozi wazuri .
Muwe na siku njema
Ni wazi CHADEMA kuna vichwa , Nadhani ni vyema 2025 waangane tupate viongozi wazuri .
Muwe na siku njema