Hivi hakuna uwezekano wa kuibiwa

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Nataka kujua iwapo nanua kitu online mfano Amazon au ali express pengine kinauzwa $50,na nitahitajika kujaza namba za visa card yangu.Nataka kujua mtu hawezi kuzitumia hizo namba za visa card kuniibia hela zangu benki.Na je itakuwaje mwenye site nayonunua kitu mfano akibadilisha figure ya bei ya kitu kwenye site yake ili ionekane bei ya hicho kitu ni zaidi kuliko bei halisi ya hicho kitu.Mfano kitu kinauzwa $20 yeye akabadili ikawa $200.Nataka nifahamu hapa inawezekana kweli mtu huyo akachukua hela kwenye akaunti yako zaidi ya ile inayotakiwa(bei halisi ya kitu)
 
Hakuna wa kukuibia,,,,, Hawa watu wanafanya biashara kwa uaminifu
 
ngoja wajuzi waje maana sisi wa buza kwa lulenge ni kununua kwa mangi tu
 
Mimi huwa ninaagiza lkn sijawahi kuibiwa. Kwa ushauri fungus account ambayo kadi yake itakuwa Ni kwa matumizi kama hayo tu na pia usiweke hela nyingi.
 
Hakuna wa kukuibia.... Card na Bank details zako ziko secured.
 
Hakuna wa kukuibia.... Card na Bank details zako ziko secured.
unielewe kwa muktadha huu,Huyo ambaye natakiwa ninunue kitu kwake hawezi kurequest hela zaidi ya inayotakiwa yaani bei ya kitu?? ndio point angu ya msingi na nursery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…