Mkuu Dark City huyu uliyem CC hapo ndio kanificha, naendelea kumrithisha elimu pasi na longolongo #hapakazitu
Mkuu Dark City huyu uliyem CC hapo ndio kanificha, naendelea kumrithisha elimu pasi na longolongo #hapakazitu
Utaacha lini kunisingizia?
kukussingizia kukurithisha elimu jamani? Sie wastaafu ndo kazi yetu
Nimekumiss
hili neno, nita do ze nidiful baadae
Lakini katika mazingira hayo kipaumbele kimebadilika.Yani nilikuwa naedit comment yangu hapa. Ingekuwa ni kuhusu single mother hapa ungewasikia tu " usioe single mother", Labda kama baba ake mtoto kafariki au kama anaweza mtoto akaishi na bibi yake. Ila wenyewe wakahudumie hadi na damu za wanaume wengine na mawasiliano ni fulluu mwee. Madai yao wao hawapashagi viporo ila single mothers tu
Huyu analake jambo si bure.Huyu jamaa ana ndoa, ila pia ana mtoto mmoja aliyempata kabla hajaoa sijui nini kilitokea hadi hakumuoa huyo mama mtoto ila kwa umbea naweza kufatilia teh, mama mtoto alishaendelea na maisha yake akazaa watoto wengine wawili....jamaa anahudumia mwanae ila pia anahudumia hao watoto wengine analipa hadi ada....sio vibaya kusaidia kama kuna uwezo ila kuna haja gani ya kufanya hivo ilhali ana familia yake tayari kwanini yule asibaki tu mzazi mwenzie ahudumie tu mwanae full stop. Mkewe hayupo comfortable na hizo huduma ila pia naona hawezi kuuliza anakufa zake kijerumani tai shingoni.... Ila hata mi sioni sababu ya jamaa kubeba zigo la majukumu kama mme vile sijui nipo sawa au nna roho mbaya lol
Huyu jamaa mwingine ni schoolmate, kaoa muda si mrefu na hapa juzi juzi kapata mtoto, nikampa hongea kwa kuwa baba, akajibu anashukuru ila amekua baba kwa mara ya pili nikaguna Kimoyo moyo nikamuuliza mtoto mwingine,story zikaendelelea.....tukahamia kuwa hali ngumu hela ya manati, akasema hana kitu katoka kumnunulia mzazi mwenzie friji,nkamuuliza wife anajua akasema hapana mmmh nkabaki kutoa macho tu, hivi huo uzazi wenza hauna mipaka ya huduma? Hivi si hadi bra unaeza peleka? Mi naona kwa huduma hizo kifuatacho itv ni hiki
View attachment 307162
Mtazamo tu pendaneni mwayego......
💃🏻 💃🏻 💃🏻 💃🏻
Japo kuwa tembo hashindwi na uzito wa mkonga wake hapo mimi hapana yapo mambo ya msingi lazima nitafanya ila mpaka jokofu tena na ada juu hilo zito kwangu na kama anafanya hivyo hapo kiporo lazima moto mdogo tu.Kusaidia ni sawa,mfano huwezi ukapeleka nguo za mwanao peke ake wakati kuna watoto wengine, utapeleka nguo, vitu vitu vya watoto, msosi ndio hadi na ada???
Okay na huyo jamaa anaepeleka hadi friji?
Huyo jamaa kiazi..Na mke wake kiazi pia..Mke Ameingia kwenye ndoa jamaa tayari akiwa na mtt..So kabla ya ndoa mwanamke alitakiwa kumsoma jamaa kwa uzuri ili ajilidhishe na kama alikuwa anajua jamaa anahudumia nje alitakiwa ajipime kama ataweza kuvumilia hiyo kitu...Kaboom msome jamaa afu umtetee teh
Wife alijua jamaa jamaa anahudumia mwanae tu ndo baadae Kuja kujua kumbe hadi na wengine anahudumiaHuyo jamaa kiazi..Na mke wake kiazi pia..Mke Ameingia kwenye ndoa jamaa tayari akiwa na mtt..So kabla ya ndoa mwanamke alitakiwa kumsoma jamaa kwa uzuri ili ajilidhishe na kama alikuwa anajua jamaa anahudumia nje alitakiwa ajipime kama ataweza kuvumilia hiyo kitu...
Naomba kuuliza swali la kizushi..Aah gelofriend unawasingizia tu bana, baby daddy's hawapashagi uporo wala kuchemsha chai. Wana upendo tu wa agape kwa mtoto na ndugu za mtoto hapo nyumbani. Ila single mothers sasa mwee
Ok..Life ndani ya ndoa limebadilika?..Wife hapati matunzo?Wife alijua jamaa jamaa anahudumia mwanae tu ndo baadae Kuja kujua kumbe hadi na wengine anahudumia
ShikamoooHuyo jamaa kiazi..Na mke wake kiazi pia..Mke Ameingia kwenye ndoa jamaa tayari akiwa na mtt..So kabla ya ndoa mwanamke alitakiwa kumsoma jamaa kwa uzuri ili ajilidhishe na kama alikuwa anajua jamaa anahudumia nje alitakiwa ajipime kama ataweza kuvumilia hiyo kitu...
Kwahiyo kama anapata freshi tu eti?Ok..Life ndani ya ndoa limebadilika?..Wife hapati matunzo?