Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Ok..Life ndani ya ndoa limebadilika?..Wife hapati matunzo?
Mpendwa hivi hata m1 ya bajeti ya familia moja ni sawa sawa na hiyo inayogawanywa kwenye familia nyingine?
Ndo hayo mambo yanakuja ya kujibana bana Weee wengine wanajimwaga na hela za mme am soleee
 
hu

Naomba kuuliza swali la kizushi..

Huyo single mama anapasha kiporo na nani ama katika jiko gani kama sio la kwa baby dady..!?
Ama ndio wanakuwa wanagongeka ovyo ile ya fungulia mbwa..Hvo wanapashwa na kila anaejua kumtongoza!?
😵
Hahhaha just read between the lines mpendwa
 
huyo limbuken tu,pengine kambla hawajaseparate alikua hata hela ya pipi hatoi
u
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…