Hivi hapa hakuna jinai kweli

Hivi hapa hakuna jinai kweli

rushanju

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
3,238
Reaction score
5,106
Wakuu naomba tujadili hili. Kwenye kikaokinachoendelea cha bunge la katiba zililetwa nyaraka za kughushi kama hati ya muungano. Hivi baada ya kuoneka kama ni nyaraka feki, mbona hakuna anaeongelea makosa haya. Nani kaghushi sahihi? Mi naona kabla ya kujadili muungano hili suala la kughusi sahihi lipelekwe haraka sana mahakamani.
 
Ni kweli mkuu usemacho lakini kwa Tanzania hii ya leo hili haliwezekani, na ukute hapo angefanya hivyo mahakamani ingekuwa fasta
 
Kwamba hakimu gani au jaji gani ataamua kesi hiyo? Mi nadhani Mtikila lazma mwisho wasiku atakwenda mahakamani. Ebu tusubiri tuone
 
Wakuu naomba tujadili hili. Kwenye kikaokinachoendelea cha bunge la katiba zililetwa nyaraka za kughushi kama hati ya muungano. Hivi baada ya kuoneka kama ni nyaraka feki, mbona hakuna anaeongelea makosa haya. Nani kaghushi sahihi? Mi naona kabla ya kujadili muungano hili suala la kughusi sahihi lipelekwe haraka sana mahakamani.

alama za vidole kachukuliwa nani?
 
Back
Top Bottom