Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Naomba kufahamu hilo au tunajipendekeza .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chinatown ndani ys newyork japo si ukaya ni marekaniView attachment 2529644
Naomba kufahamu hilo au tunajipendekeza .....
Wewe utakuwa tu mteja wa kwa cheupe!Ulaya ni Ulaya na Tanzania ni Tanzania,, hiyo Chini ni MwanzaView attachment 2529655
Kuna mwaka nilitembea kwa miguu kutoka Kawe kwenda Kariakoo kwa miguuu.View attachment 2529644
Naomba kufahamu hilo au tunajipendekeza .....
Aice tutafute hela, umenikumbusha mi nilipoteza nauli inabidi nitembee kwa mguu kutoka katoro Hadi geita mjini na ilitakiwa niwe na buku mbili TU nipande gari.Kuna mwaka nilitembea kwa miguu kutoka Kawe kwenda Kariakoo kwa miguuu.
Kwenda Kawe-Kariakoo kupitia Mlimani city,Ubungo
Kurudi Kariakoo-Kawe kupitia hapo Morocco,Mikocheni. Hizi ni ruti za daladala kabisa ila nilizipiga kwa soli ya viatu (kukosa hela ni adhabu).
Umenikumbusha aise tangi bovu mpaka posta kwa miguu,Kuna mwaka nilitembea kwa miguu kutoka Kawe kwenda Kariakoo kwa miguuu.
Kwenda Kawe-Kariakoo kupitia Mlimani city,Ubungo
Kurudi Kariakoo-Kawe kupitia hapo Morocco,Mikocheni. Hizi ni ruti za daladala kabisa ila nilizipiga kwa soli ya viatu (kukosa hela ni adhabu).
Hawa wanamaanisha kweli washenzi nanusu hawa ?
Ni wanafikiHawa wanamaanisha kweli washenzi nanusu hawa ?