Hivi hata Ulaya kuna sehemu zimepewa majina ya nchi mfano hapa Tanzania kuna street inaitwa Morocco, Argentina nk

Hivi hata Ulaya kuna sehemu zimepewa majina ya nchi mfano hapa Tanzania kuna street inaitwa Morocco, Argentina nk

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
images (1).jpeg

Naomba kufahamu hilo au tunajipendekeza .....
 
Ujerumani kuna watanzania waliruhusiwa kuita mtaa mmoja huko mmoja wa wanawake wapigania uhuru kutoka mkoa mmoja wa kaskazini mwa tanzania. Diaspora walioko ulaya na amerika wajitahidi kupenyeza majina ya kitanzania huko waliko
 
Zipo nyingi sana na London nimeona majina kama ya Nelson Mandela , Steve Biko na hata India Road huko Gloucester
 
Da
Kuna mwaka nilitembea kwa miguu kutoka Kawe kwenda Kariakoo kwa miguuu.
Kwenda Kawe-Kariakoo kupitia Mlimani city,Ubungo
Kurudi Kariakoo-Kawe kupitia hapo Morocco,Mikocheni. Hizi ni ruti za daladala kabisa ila nilizipiga kwa soli ya viatu (kukosa hela ni adhabu).
Aice tutafute hela, umenikumbusha mi nilipoteza nauli inabidi nitembee kwa mguu kutoka katoro Hadi geita mjini na ilitakiwa niwe na buku mbili TU nipande gari.
 
Kuna mwaka nilitembea kwa miguu kutoka Kawe kwenda Kariakoo kwa miguuu.
Kwenda Kawe-Kariakoo kupitia Mlimani city,Ubungo
Kurudi Kariakoo-Kawe kupitia hapo Morocco,Mikocheni. Hizi ni ruti za daladala kabisa ila nilizipiga kwa soli ya viatu (kukosa hela ni adhabu).
Umenikumbusha aise tangi bovu mpaka posta kwa miguu,
Nimeshtuka saa kumi usiku pombe zimekata Sina hata mia na saa moja natakiwa niwepo job aise gafla nikaichukia pombe,
Cha ajabu siku hiyo hiyo nikapiga Dili la nguvu jion nikajikuta nipo bar wakati nilishaapa asubuh sinywi tena!
 
Back
Top Bottom