Hivi hawa ball boys wanaongozwa na kanuni?

Hivi hawa ball boys wanaongozwa na kanuni?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Hivi kuna kanuni ya mpira inayowaongoza vijana waokota mipira? Tumeona juzi kwenye mechi ya Yanga na USMA jinsi ambavyo vijana waokota mipira walivyotumika kuathiri mchezo.

Wakirusha mipira miwili miwili ili kupooza mchezo na kupoteza muda. kuna sheria za mpira zinazowaongoza vijana hawa?

Mamlaka ya refa kwa vijana hawa yakoje?
 
Niliipenda sana ile kazi waliyoifanya.

Kuna wakati refa alienda kumfokea mmoja wao, dogo mjeuri wa kiarabu akawa anamcheki tu refa kama ganda la muwa, na baada ya muda akarusha mpira mwingine uwanjani ikawa mipira 2.
 
Niliipenda sana ile kazi waliyoifanya.

Kuna wakati refa alienda kumfokea mmoja wao, dogo mjeuri wa kiarabu akawa anamcheki tu refa kama ganda la muwa, na baada ya muda akarusha mpira mwingine uwanjani ikawa mipira 2.
Kwa nini asikapige red card?
 
Niliipenda sana ile kazi waliyoifanya.

Kuna wakati refa alienda kumfokea mmoja wao, dogo mjeuri wa kiarabu akawa anamcheki tu refa kama ganda la muwa, na baada ya muda akarusha mpira mwingine uwanjani ikawa mipira 2.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ballboys ni sehemu ya timu hasa inapocheza nyumbani, hawa ballboys wapo hand-picked na trained ili kusaidia ushindi wa home team,Tanzania bado nyuma kwa kila kitu,kumbuka goli walilofunga Liverpool lililowapatia ubingwa, kwenye karibu na kona, ball boy anaurusha mpira kwa haraka kwa mpiga kona ,kona fupi inapigwa beki anapeleka majalo na kiwa goli
 
Back
Top Bottom