Michael Mwangoka
Member
- Oct 27, 2016
- 12
- 2
Habari wanajamvi ..
Kama Heading inavyojieleza ,naomba kujuzwa hivi Wasanii wakubwa huwa wanawalipa Managers wao kwa Criteria gani??kwa kila show?? Kwa mwezi ?? Au kwa njia ipi.Pia vipi kuhusu Crew yao nyingine kama Dancers ,Djs na CREW members wengine.
Maana utasikia Msaniii Fulani kalipwa Dola elfu kadhaa kwa show aliyoifanya mahali.,je hiyo humaanisha malipo yake peke yake?? Au ndo hapo hutakiwa kulipa Crew yake na ipi ni best approach, kulipa per specific time say per month au kwa kila Show inayofanyika??
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu[emoji4] [emoji276]
Kama Heading inavyojieleza ,naomba kujuzwa hivi Wasanii wakubwa huwa wanawalipa Managers wao kwa Criteria gani??kwa kila show?? Kwa mwezi ?? Au kwa njia ipi.Pia vipi kuhusu Crew yao nyingine kama Dancers ,Djs na CREW members wengine.
Maana utasikia Msaniii Fulani kalipwa Dola elfu kadhaa kwa show aliyoifanya mahali.,je hiyo humaanisha malipo yake peke yake?? Au ndo hapo hutakiwa kulipa Crew yake na ipi ni best approach, kulipa per specific time say per month au kwa kila Show inayofanyika??
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu[emoji4] [emoji276]