Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kuna bidhaa nimeziona NAHITAJI kuagiza. Kuna aliyewahi kufanya biashara na Hawa jamaa wa kuitwa MyKariakoo. Anisaidie mrejesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uagize ulipe baada ya mzigo kufikaKuna bidhaa nimeziona NAHITAJI kuagiza. Kuna aliyewahi kufanya biashara na Hawa jamaa wa kuitwa MyKariakoo. Anisaidie mrejesho.
Issue wanasema niwatumie kwanza 15 ya kusafirisha mzigo ukifika ndio nalipia ... Nawaambia Kwa nini wasitume nikipokea nilipe kila kitu hawataki mpaka nitume ya kusafirisha.Si uagize ulipe baada ya mzigo kufika
Wasiwasi ndio akili mkuu.Issue wanasema niwatumie kwanza 15 ya kusafirisha mzigo ukifika ndio nalipia ... Nawaambia Kwa nini wasitume nikipokea nilipe kila kitu hawataki mpaka nitume ya kusafirisha.
Vibaka hao achana naoIssue wanasema niwatumie kwanza 15 ya kusafirisha mzigo ukifika ndio nalipia ... Nawaambia Kwa nini wasitume nikipokea nilipe kila kitu hawataki mpaka nitume ya kusafirisha.
Hapana mkuu, ni pis kali imehamia huku mtaani kwetu..😜Mykariakoo ndo nini au jina jipya la Simba spozi kilabu
seapiano sp 910 ikfka nalipia ngapi?Unataka nn mm nikuagizie ulipe baada ya kupokea mxigo
Unataka nn mm nikuagizie ulipe baada ya kupokea mxigo
kama huwaamini temana nao agiza pale unapoona nafsi yako inaridhiaIssue wanasema niwatumie kwanza 15 ya kusafirisha mzigo ukifika ndio nalipia ... Nawaambia Kwa nini wasitume nikipokea nilipe kila kitu hawataki mpaka nitume ya kusafirisha.
Nkajua ni huyu mahi wetu.Hapana mkuu, ni pis kali imehamia huku mtaani kwetu..😜
Ngoja nimtume dogo ... Aende ofisini akalipie anitumie...kama huwaamini temana nao agiza pale unapoona nafsi yako inaridhia
Unataka nini kama nakijua kilipo nikutumieIssue wanasema niwatumie kwanza 15 ya kusafirisha mzigo ukifika ndio nalipia ... Nawaambia Kwa nini wasitume nikipokea nilipe kila kitu hawataki mpaka nitume ya kusafirisha.
Unataka nini kama nakijua kilipo nikutumie
samahani lakini mkuu...unaijua vyema aina hiyo ya computer, au umetamanishwa na bei?....
Mi kazi zangu sio nzito kihivyo ni internet tu kupakua na kupakia documents/ pdfs basi....kama Ina changamoto ukinijuza pia ni vizuri..ndio specialization and division of labor....samahani lakini mkuu...unaijua vyema aina hiyo ya computer, au umetamanishwa na bei?....
Umefanya uchunguzi wa chromebook ukazifahamu vizuri? Juzi humu kuna jamaa alikuwa aauliza kama inaweza kupokea Windows OS.