Hivi hawa Vodacom wameondoa Kaskazini Offer tu au wameondoa Offer zote?

Hivi hawa Vodacom wameondoa Kaskazini Offer tu au wameondoa Offer zote?

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
2,162
Reaction score
2,616
Heshima kwenu.

Nilikuwa natumia mtandao wa tigo zamani, nikawa nimekuja sehemu ambayo network ilikuwa inashika kwa tabu sana, kwa kuwa nina line ya Voda nikajaribu kuweka salio ikawa inafanya vizuri tu nikaacha kutumia line yaTigo.

Sasa juzi najaribu kuunga kifurushi kwa line ya Voda nashangaa sioni hii Offer ya Kaskazini ambayo ilikuwa ni 2000 sms+mb+dakika, wameweka tu internet peke yake ambapo wameongeza na bei imekuwa elfu 3.

Nikasema niwa-check tigo nikakutana na Size yako nimeunga inafanya vizuri kabisa. Sasa hizi offer za Voda zimeondolewa za Kaskazini tu au na nyie huko mlipo pia wameziondoa?

NAWASILISHA.
 
Ujinga ni kutumia mtandao wa voda, achana nao ujiepushe na ujinga
Heshima kwenu.

Nilikuwa natumia mtandao wa tigo zamani, nikawa nimekuja sehemu ambayo network ilikuwa inashika kwa tabu sana, kwa kuwa nina line ya Voda nikajaribu kuweka salio ikawa inafanya vizuri tu nikaacha kutumia line ya tigo.
 
Tatizo la VODACOM ni kuwa wakishaona wewe ni mteja wao sana wa huduma flani wanaona kama unafaidi sana, wanaanza kukufutia hizo huduma na kukupa za hovyo

Au wanakuongezea gharama wakifikiri unafaidi sana kwa pesa ndogo

Vodacom ni wa hovyo SANA. Hamia Tigo Mkuu.
 
Tatizo la VODACOM ni kuwa wakishaona wewe ni mteja wao sana wa huduma flani wanaona kama unafaidi sana, wanaanza kukufutia hizo huduma na kukupa za hovyo

Au wanakuongezea gharama wakifikiri unafaidi sana kwa pesa ndogo

Vodacom ni wa hovyo SANA. Hamia Tigo Mkuu.

Kabisa kiongozi hawa jamaa ni wa hovyo sana sijui kwa nini wanakuwa hivi aisee.
 
Back
Top Bottom