Hivi hawa wachambuzi wa soka wa kibongo mbona kama hawalijui soka vizuri?

Hivi hawa wachambuzi wa soka wa kibongo mbona kama hawalijui soka vizuri?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ninawafuatilia wanashangaa sana timu kupigwa red card halafu inashinda!

Kama waliamua kufanya kazi hiyo,wafanye utafiti watagunfundua timu inapocheza pungufu uwanjani mara nyingi huwa wanamatokeo mazuri iwapo mpinzani atajisahau na kuruhusu wachezaji wake wote kushambulia.
Timu zenye tabia ya kucheza katika eneo lao wakiwa wamepaki bus,huwa wanapata bahati ya kufunga kwa counter attacks.Wafuatilie Chelsea alivyobeba UEFA 2012.

Jifunzeni soka kama mnataka kuwa wachambuzi wazuri
 
Wachambuzi wako wengi mzee, wataje majina japo wajijue. Haya mambo ya kuficha kila kitu ndio yanatuharibia.
Fulani kakosea asemwe ni fulani, sio kuwaambia kwa mafumbo.
Haya wataje wajijue ili kesho na kesho kutwa wajirekebishe.
 
Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira, wote takataka tu, wachumia tumbo na makanjanja tu
 
Wachambuzi wako wengi mzee, wataje majina japo wajijue. Haya mambo ya kuficha kila kitu ndio yanatuharibia.
Fulani kakosea asemwe ni fulani, sio kuwaambia kwa mafumbo.
Haya wataje wajijue ili kesho na kesho kutwa wajirekebishe.
Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira, wote mb,,uzi watupu, yamebakia na ushabiki wa Simba na yanga
 
Back
Top Bottom