sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Nakala: lil wayne Sibonike Makoye Matale Gide MK jang Denis denny Frank Wanjiru Deo Corleone Belo brigedia mafia Mawembasa1979 nasmapesa na ndugu zao.
Mkuu mpaka sasa.. Ni wiki ya Nane..Simba S.C tupo kileleniSimba Day ni siku maalumu kwa Klabu kupiga mikwara dhidi ya timu za Ligi.... Lakini cha kushangaza huwa mnapoteaga kwenye jukwaa hili wiki 8 baada ya LigiKuu kuanza.
2.
Mkuu.. Umeyapata lakini matokeo ya Simba S.C alipokutana na Heavy Weight wenzake??sembo
Hata kwenye boxing heavy weight kujipima na light weight haileti taswira sahihi. Nadhani utakubaliana nami. Tusubiri hiyo Simba week yenu tuone kipimo halisi.
3.
... Anyway hata mlipowafunga Polisi Morogoro mlichonga sana utafikiri mmechukua kikombe. Simba hawezi kuwa bingwa wa VPL 2016/2017, nafasi ya 3 inawahusu maana wastara hazumbuzi wa mbili havai moja...
Wakuu bado.. Mna wasi wasi na ubora wa Mnyama??Kubishana kuhusu mkia fc ni kujipotezea muda bure, kwa sasa wao wako level moja na Mtibwa, Ndanda Prisons na wengineo, anayejaribu kutoa changamoto kwa Yanga ni Azam.Sioni kama timu waliyonayo inaweza kusogea zaidi ya nafasi ya tatu.
4.
Mkuu.. tuendelee kusubiri mda uongee.. au mda wenyewe ni sasa??Sasa simba kucheza friends mechi na timu ya 11 au ya 9 kwenye ligi yao, hapo anajipima au danganya toto? Kumbuka kambi aliweka morogoro akawa anacheza na timu za daraja la ngap sijui.. Anyway it's matter of time
5.
Mkuu.. Mlifanikiwa kuukata huo Mkia.. Au mlilambwa kila kona??Sisi Azam FC tunawasubiria tuwakate mkia
6.
Angali usije kupotea wewe tuu kama ilivyokuwa msimu ulioisha,maana ulikimbia kabisa hapa Jukwaani.
Sasa mbona ligi ikianza unakimbia humu?
Wakuu.. Mpo kweli jukwaani humu.. Maana mmepotea kweli??Hivi mbwembwe hajaanza leo hata mwaka jana alianza,hivi walivyoanza kufungwa akakimbia JF
7.
Ndo kawaida yenu hiyo mwanzoni mnaanza kwa mbwembwe wenyewe ligi ikichanganya tu mnapoteana
Simba bado sana nafasi ya 3 kwenye vpl inawahusu!
Taarifa iwafikie.. Simba S.C inaongoza ligi kwa sasa.Kwa mpira ule mwaka huu kwenye ligi nafasi ya 9 inawahusu,yaani vile mnavyorukaruka wakati mmekutana na utumbo ule mtatia aibu sana mwaka huu.
Nakala: lil wayne Sibonike Makoye Matale Gide MK jang Denis denny Frank Wanjiru Deo Corleone Belo brigedia mafia Mawembasa1979 nasmapesa na ndugu zao.