[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona siku zote mnazoshinda haujawahi kuwa hilo eneo korofi ?
Simba hadi raaha msimu huu...na bado!!!
Hakuna shida mkuu Mimi nina imani na simba yangu 100%Kweli???????????????!!!!!!!!!!!!! mwisho mwa msimu msikimbilie 'uvunguni mwa meza'....byeyombo, nitakutafuta ndugu yangu....usianze 'kurusha ngumi', siku hiyo..... tehtehtehtehteh
Mechi yetu na mpakato fc.Niliwaambia kama wanadhani simba ya msimu huu ni ile Kessy waje na matokeo uwanjani.Wakaondoka kwenda kwa yule afande wakaja na magoli ya mkono.SEMBO wasikutishe, midfield zao zote zimezeeka.Labda dirisha dogo watafute wakutatua hilo tatizo.
Haha.. Mkuu hata siku moja, Yanga Yetu hajawahi kua tishio kwangu.
Na hadi wajiimarishe katika hilo dirisha dogo.. Simba S.C tutakua mbali sana [nadhani tutakua tushawaacha pointi 9].. Mpaka hao wachezaji wazoeane na wenzao.. Sisi tutakua tushatangaza ubingwa zamani [tukiwa tumebakiza mechi tatu].
Haha.. Mkuu hata siku moja, Yanga Yetu hajawahi kua tishio kwangu.
Na hadi wajiimarishe katika hilo dirisha dogo.. Simba S.C tutakua mbali sana [nadhani tutakua tushawaacha pointi 9].. Mpaka hao wachezaji wazoeane na wenzao.. Sisi tutakua tushatangaza ubingwa zamani [tukiwa tumebakiza mechi tatu].
Hlf uwa unaonekana mwanzoni mwa ligi kuu tu!Kwako lazima ziwe "kelele".. Msimu huu, Mkuu itabidi unisamehe tu, maana hizi "kelele" utazisikia hadi April, 2017,
Hilo wana hati miliki yake haya mengine ni kujitamanisha tu uwezo hawana na wanalijua hiloKombe unaloweza chukua ni Mapinduzi tu
Sembo itabidi tuunde group la whtsaap la wana simba ili tupate full matukio ya MBABE WA LIGI KUU NA MFALME WA MWITUNI SIMBA!! KAMA LIPO NIJUZE MKUUShukrani Mkuu.. Ni kitambo sana sijakuona.. Nadhani May ni mbali sana.. Mechi ya mwisho ya VPL ni 09/04/2017.. Nadhani tukutane April.
Nifah Kwan yanga si inaitwa mbeleko fc[emoji23] [emoji23] [emoji23]Simba kwa mbwembwe bwana?Baadae mambo yakiwa tight mtaanza kulia Yanga wanabebwa.
Group lipo eka namba nikuungeSembo itabidi tuunde group la whtsaap la wana simba ili tupate full matukio ya MBABE WA LIGI KUU NA MFALME WA MWITUNI SIMBA!! KAMA LIPO NIJUZE MKUU
Yetu machooooo...tuombe uzima.hii simba lazma ichukue ubingwa mnyamaaa
Ila nimekumiss diaYetu machooooo...tuombe uzima.
Tusikimbiane tu.
wanawake wapo huko natamani kwenye hilo group la simbaGroup lipo eka namba nikuunge
hii simba lazma ichukue ubingwa mnyamaaa