Hivi hawa wanawake wanaowasingizia kesi za ubakaji waume zao wanapata adhabu gani?

Hivi hawa wanawake wanaowasingizia kesi za ubakaji waume zao wanapata adhabu gani?

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Habarini, mifano ni mingi tu.

Ni vizuri na ni jambo la kheri kumuwezesha mwanamke, yaani kumpa nguvu dhidi ya uonevu wa wanaume. Si malengo ya mtoaji nguvu kwa wao kuzitumia kuumiza na kutesa wasio na hatia.

Hivi je, ikigundulika mume aliyefanyiwa vigisu za ubakaji na mkewe na akafungwa maisha, kuwa hakufanya huo ubakaji je, ni adhabu gani hutolewa kwa aliyekuwa mlalamikaji? Mbona haya mambo yanakwenda kiholela? Haki i wapi?

Napata picha namna hizi nchi za magharibi walivyo washenzi. Hawaitakii mema dunia hii. Naona adha za nchi kuwa masikini, itapokea kila kitu hata kama hakifai. Kongole sana kwa Russia, China na North Korea plus all arabic countries.

Yaani kiholela tu mtu amepotezewa muda jela, inaonekana alionewa tena kwa makusudi halafu hakuna hatua stahiki zinachukuliwa kwa mlalamikaji na mashahidi wa uongo.

Hii inawafanya watu hasa wanaume kuzidi kuwa na mioyo ya kikatili na chuki mno. Hao ni wachache tu, je, ni wangapi wanasota muda huu? Mifano mingi achilia mbali yule wa Kenya, wanafunzi wengi tu wa kike waliofungisha walimu wao wasio na hatia.

Tutafakari, bomu hili likija kulipuka yatakuwa maafa makubwa kuwahi kutokea juu ya sayari.
 
"SHERIA ZA OVYO"
Kwanza adi inafika mda wa kumlazimisha kumnyandua ni mtu ana genye na apendi kucheat 😎
Habarini, mifano ni mingi tu. Ni vizuri na ni jambo la kheri kumuwezesha mwanamke, yaani kumpa nguvu dhidi ya uonevu wa wanaume.

Si malengo ya mtoaji nguvu kwa wao kuzitumia kuumiza na kutesa wasio na hatia.
 
"SHERIA ZA OVYO"
Kwanza adi inafika mda wa kumlazimisha kumnyandua ni mtu ana genye na apendi kucheat [emoji41]
Kabisa, mimi naumia sana kwa niaba ya wanaume wote wasio na hatia wanaosota jela muda huu kwa hujuma za wanawake.
 
Vyombo husika vikishindwa kutoa haki kwa usawa, aliyeonewa angaalie namna ya kupata haki yake.

Kama sheria za kisasa zikishindwa kuhukumu kwa haki na usawa tutumie zile sheria za Musa.
 
Kwa maelezo ya jamaa na mfano alioutoa wa huko [emoji1139] anamaanisha mama kumsingizia kosa la ubakaji kwa mtu wake wa karibu aidha mtoto au ndugu yake.

Ishu ya Kenya [emoji1139] baba alisingiziwa kumbaka binti wake, mzee akala mvua za kutosha ila miaka 10 mbele mtoto akaja kukiri kua hajawahi kubakwa na mama yake ndie alikua mastermind wa kuframe hio kesi, dogo alikuja kujutia sana na kutaka kusaidiwa kwenda gerezani kumuomba msamaha baba yake kwa uovu waliomfanyia.
 
Kwa maelezo ya jamaa na mfano alioutoa wa huko [emoji1139] anamaanisha mama kumsingizia kosa la ubakaji kwa mtu wake wa karibu aidha mtoto au ndugu yake.
Ishu ya Kenya [emoji1139] baba alisingiziwa kumbaka binti wake, mzee akala mvua za kutosha ila miaka 10 mbele mtoto akaja kukiri kua hajawahi kubakwa na mama yake ndie alikua mastermind wa kuframe hio kesi, dogo alikuja kujutia sana na kutaka kusaidiwa kwenda gerezani kumuomba msamaha baba yake kwa uovu waliomfanyia.
Walifanikiwa kumtoa
 
Vyombo husika vikishindwa kutoa haki kwa usawa, aliyeonewa angaalie namna ya kupata haki yake.

Kama sheria za kisasa zikishindwa kuhukumu kwa haki na usawa tutumie zile sheria za Musa.
Sheria za Mussa[emoji122][emoji122][emoji122] kwamba jino kwa jino na akuanzae mmalize au?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Kwa maelezo ya jamaa na mfano alioutoa wa huko [emoji1139] anamaanisha mama kumsingizia kosa la ubakaji kwa mtu wake wa karibu aidha mtoto au ndugu yake.
Ishu ya Kenya [emoji1139] baba alisingiziwa kumbaka binti wake, mzee akala mvua za kutosha ila miaka 10 mbele mtoto akaja kukiri kua hajawahi kubakwa na mama yake ndie alikua mastermind wa kuframe hio kesi, dogo alikuja kujutia sana na kutaka kusaidiwa kwenda gerezani kumuomba msamaha baba yake kwa uovu waliomfanyia.
Exactly, na ndicho nilichomaanisha.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom