mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
-
- #21
Na hiyo ndio power kubwa wanayoitumia wanawake kuwanyanyasa wale wanaohitaji kuwafanyia hivyo. Huzuni kwa kweli.!Kwa maelezo ya jamaa na mfano alioutoa wa huko [emoji1139] anamaanisha mama kumsingizia kosa la ubakaji kwa mtu wake wa karibu aidha mtoto au ndugu yake.
Ishu ya Kenya [emoji1139] baba alisingiziwa kumbaka binti wake, mzee akala mvua za kutosha ila miaka 10 mbele mtoto akaja kukiri kua hajawahi kubakwa na mama yake ndie alikua mastermind wa kuframe hio kesi, dogo alikuja kujutia sana na kutaka kusaidiwa kwenda gerezani kumuomba msamaha baba yake kwa uovu waliomfanyia.
Bila mtoto nafsi kumsuta na kufunguka, mzee alikuwa ni kama anafia jela.Walifanikiwa kumtoa
Alioa malaya. Huyo mzee ni introvert na ni nice guy. Sijui kwa nini nice guys huoa malaya.Alitoka na alimsamehe mkewe pamoja na mwanae, mzee alikua anaongea kwa uchungu sana, kikubwa mzee anaonekana ni mtu wa dini sana sijui ilikuaje akajichanganya kwa huyo haramia aliemuoa na kumuweka ndani.
Ndio, nieleweshe mkuu.Ndivyo ulivyoelewa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila si wanawake wote. Mama zetu wengi wao hawakuwa hivi. Issue ni oversized power wanayopewa.Kiumbe "mwanamke" akijawahi kutuacha salama sisi wanaume sijui tuwafanyie nn watunusuru na dhambi zao na roho zao za uchaf juu yetu[emoji22][emoji22][emoji47]
Yaan kila sehem anaskilizwa kuanzia kwenye madawati ya jinsia na uko juu na mwanamke angepewa nguv naturally from god aki ii dunia ingekuwa pembetatu actuallyIla si wanawake wote. Mama zetu wengi wao hawakuwa hivi. Issue ni oversized power wanayopewa.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Hakuna cha kutumia sheria ya Mussa hapa ni mtutu kwenda mbele.Vyombo husika vikishindwa kutoa haki kwa usawa, aliyeonewa angaalie namna ya kupata haki yake.
Kama sheria za kisasa zikishindwa kuhukumu kwa haki na usawa tutumie zile sheria za Musa.
Vyovyote vile.Hakuna cha kutumia sheria ya Mussa hapa ni mtutu kwenda mbele.
Hakuna aliyepinga. Soma vizuri uzi uelewe.!Wanawake Wana haki sawa na sio wakunyanyasika!
Shida ipo hapo. Kuna feminists wa kiume wanashabikia hili kimihemko. https://www.facebook.com/Yaan kila sehem anaskilizwa kuanzia kwenye madawati ya jinsia na uko juu na mwanamke angepewa nguv naturally from god aki ii dunia ingekuwa pembetatu actually
Hahah hivi hii sheria ya Mussa ndio ipoje vile?Hakuna cha kutumia sheria ya Mussa hapa ni mtutu kwenda mbele.
Hamna sio wote mkuu, sana sana ni hawa waliopata malezi mabovu na wanaojikuta wanataka haki sawa.U B I N- A D A M K A Z I
Wanawake ni watu wakuwa nao macho sana
Hamna sio wote mkuu