Hivi hawa wasemaji wa vilabu hivi 2 pendwa ni mahaba au umbumbumbu wa kuongea.

Hivi hawa wasemaji wa vilabu hivi 2 pendwa ni mahaba au umbumbumbu wa kuongea.

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
Kwaiyo wewe ulitakaje labda kijana wa Rage, ulitaka aongee kinachokufurahisha wewe na genge lako la ukoloni au?
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
Vyote viwili
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
Paragraph ya mwisho ndio ilikua nia yako huko kwingine ulikua unazunguka zunguka tu
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.

Hii Habari za Hawa binaadamu kuongelea team ya wengine imekuwa kero, wanaacha kutoa hamasa wachezaji na kuwatia hamasa fans wao utakuta siku zote ni kuzodoana utafikiri Malaya wa mwananyamala sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao wa huko juu
 
Hii Habari za Hawa binaadamu kuongelea team ya wengine imekuwa kero, wanaacha kutoa hamasa wachezaji na kuwatia hamasa fans wao utakuta siku zote ni kuzodoana utafikiri Malaya wa mwananyamala sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao wa huko juu
Ha ha ha ha
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
sasa wewe sandakarawe umesema wasemaji wawili halafu kwenye maelezo unamtaja mmoja
ni umbumbumbu au utahira?
 
sasa wewe sandakarawe umesema wasemaji wawili halafu kwenye maelezo unamtaja mmoja
ni umbumbumbu au utahira?
Nimewataja wote ila mmoja ndiyo nimechukulia km Case study maana ndiye alikuwa hewani kwa wakati huo. Au na wewe ndiyo akina mahaba niue.
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
Huyo anaitwa KIRIKUU au NJITI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

alizaliwa kabla ya muda mwafaka nasikia miezi 6 tu ndio maana HANA AKILI.
 
Huyo anaitwa KIRIKUU au NJITI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

alizaliwa kabla ya muda mwafaka nasikia miezi 6 tu ndio maana HANA AKILI.
Mwanaume epuka maneno "nasikia" "nmeambiwa" wanasema
 
Huyo anaitwa KIRIKUU au NJITI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

alizaliwa kabla ya muda mwafaka nasikia miezi 6 tu ndio maana HANA AKILI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni Yanga ila Wasemaji wa Yanga na Simba wanaongea vibaya.
Utani wa jadi upo ila wanaelekea kubaya.
Wanaongea mpaka wanaelekea kukufuru ayo mambo ya kuongea hovyo wawaachie mashabiki wajikite kwenye hoja.
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
ni mashamsham ya utani wa jadi
 
HUYO NI MPARE.

1.Bado ni MSHAMBA.
2. MJINGA.
3. Limbukeni.
4.Ugeni unamsumbua
5. Hana akili.
6.Mbea.
7.Hana uzalendo.
8.Ndoa yenyewe imemshinda.
9. UTOTO.
10. Jamii Ile Ile, tofauti na Akina masau, kamwaga, thobias nk.
.....
 
Niko nashuhudia hapa huyu msemaji wa Yanga akikabidhiwa pesa za mheshimiwa Rais km ahadi yake ya Kila goli, haya maneno anayoongea kuhusu wapinzani wao Simba siyo ya kizalendo. Yani Hana utofauti na yule mtangulizi wake aliyepigwa ban na TFF.

Hivi hawa wasemaji wasipotoa maneno ya shobo huwa hawaeleweki. Ni roporopo sn, hasa huyu bwana mdogo mwenye mawani duuuuu. Mwenzake wa Simba akitoa neno moja tu juu ya Yanga utaona comments nyingi za kumponda.

Huyu dogo km timu yake ndiyo ingekuwa club bingwa hatua hii na tena Kwa kuwafunga Wydad (bingwa mtetezi) angekuwa halali nyumbani badala yake angekuwa analala ofsini pale jangwani.

Lakini mimi naona tuwaache tu wapararuane.
Kichwa cha habari na contents tofauti kabisa. Ulichoandika kwenye kichwa cha habari ndo ukweli Ila baadaye umevutwa na upenzi na mahaba. Wote Ahmed na Ally wanaongea ambacho nyie Mbumbumbu wa soka mnataka kusikia.
 
Kichwa cha habari na contents tofauti kabisa. Ulichoandika kwenye kichwa cha habari ndo ukweli Ila baadaye umevutwa na upenzi na mahaba. Wote Ahmed na Ally wanaongea ambacho nyie Mbumbumbu wa soka mnataka kusikia.
Ungesoma komenti za wadau ungekutana na jibu hili. Nimesema nimeongelea zaidi mvaa mawani km Case study maana muda huo ndiye alikuwa hewani.
 
HUYO NI MPARE.

1.Bado ni MSHAMBA.
2. MJINGA.
3. Limbukeni.
4.Ugeni unamsumbua
5. Hana akili.
6.Mbea.
7.Hana uzalendo.
8.Ndoa yenyewe imemshinda.
9. UTOTO.
10. Jamii Ile Ile, tofauti na Akina masau, kamwaga, thobias nk.
.....
Ohooo 🏃🏃
 
Back
Top Bottom