Hivi hawa wasemaji wa vilabu hivi 2 pendwa ni mahaba au umbumbumbu wa kuongea.

Wanaokupa hongera Ni utopolo , umashawadanganya km ambavyo Manara anawalisha matango pori
 
Acha aongee nadhani kama Simba ingekuwa inaongoza ligi kuu, kuongoza kundi ligi ya Afrika,Kutwaa vikombe vyote bila shaka semaji angeenda kukesha msimbazi πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
kwanza wanalipwa,
pili wanatafuta fun engangement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…