Hivi hawa watangazaji wa Wasafi na E-fm mnawaelewa?

Hivi hawa watangazaji wa Wasafi na E-fm mnawaelewa?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Wa WASAFI FM SPORT ARENA anaitwa MWANAIDI SULEIMAN

Wa E-FM SPORTS HQ anaitwa TUNU HASSAN.

Yaani hawa wakiongea ni SHUDU TU... Hata vile wanavyojaribu kuchokoza mada... Wanashindwa hata kujenga hoja.

Kiasi kwamba mimi nahisi kazi yao ni kubalance muda wa kipindi na matangazo... Na wako makini sana na matangazo.

Sijui kazi yao ni kuremba kipindi na visauti vyao au ni nini? Yaani hamna kitu wanajua kuhusu hata michezo yenyewe.

Watupu watupu, shobo shobo... Maswali wanayouliza hayana kichwa wala miguu... Ovyo kabisa... Sijui ninyi mnawaelewaga?
 
Usawa wa jinsia ... vumilia..ajira zenyewe hakuna ..usiwaharibie....
Wata improve miaka inavyoenda
Hii usawa inaharibu quality kweli... Mbona akina dada wengine wengi mtaani wanalijua soka... Au ni michongo na rushwa.
 
Nafkri waliajiriwa kwa ajili ya ku make balance ya uwepo wa wanawake wanao sikika kwenye mic. Ila Bora tunu kidogo
 
Nafkri waliajiriwa kwa ajili ya ku make balance ya uwepo wa wanawake wanao sikika kwenye mic. Ila Bora tunu kidogo
Huyo mwanaidi suleiman aende kwenye kipindi cha mchana kinachofuata... Sio kila kile ambacho wanaume wanafanya na wao wanawake wafanye...
 
Hii usawa inaharibu quality kweli... Mbona akina dada wengine wengi mtaani wanalijua soka... Au ni michongo na rushwa.
Acha kuwa mweupe dada gani analijua soka mtaani Hawa wakina Kai au? Mwanaume kuwawaza kina Dada ni udada
 
Kabisa yule mwanaidi ndo mtupu mtupu kichwani boksi kbsa,..kujenga hoja sifuri
Yeye ni mtangazaji unataka ajenge hoja gani? Wachambuzi si wapo? Yeye anakuleta habari wachambuzi ni wengine.kwanza wewe hujui tofauti Kati ya mtangazaji na mchambuzi wa michezo
 
Kabisa yule mwanaidi ndo mtupu mtupu kichwani boksi kbsa,..kujenga hoja sifuri
Hapo pia kuna MKULE... Kwenye hiko kipindi namfuata Edo kumwembe, ambangile, GEORGE JOB NA nasri khalfan.
 
Yeye ni mtangazaji unataka ajenge hoja gani? Wachambuzi si wapo? Yeye anakuleta habari wachambuzi ni wengine.kwanza wewe hujui tofauti Kati ya mtangazaji na mchambuzi wa michezo
Wewe ndio umedandia treni kwa mbele...
 
Back
Top Bottom