Hivi hawa watu wa Afrika Kaskazini lini wataanza kumwogopa Mungu?

Hivi hawa watu wa Afrika Kaskazini lini wataanza kumwogopa Mungu?

Bhanunu

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
792
Reaction score
244
Watu waaju sana wana roho mbaya

Shetani ananafuu, awajui kwamba kuna MUNGU

======

 
Nipo hapa nangojea ufafanuzi/ tafsiri
 
Na bado ipo siku hata Nyie mtapigwa Bei tuuu. Sisi Mijitu myeusi akili mbovu sana sana maaana tupo tayari kuuuza Utu wetu kwa Vipande vya Faranga.

Wangapi tulikuwa tunasapoti Nyaraka za UJINGA WA AMSTERDAM? Narudia kusema hiviiiii HATA HAPA TANZANIA KUNA WATU INATAKIWA TUWASAFIRISHE WAUZWE KWENYE SOKO KULEE LIBYA
 
Na bado ipo siku hata Nyie mtapigwa Bei tu. Sisi Mijitu myeusi akili mbovu sana sana maaana tupo tayari kuuuza Utu wetu kwa Vipande vya Faranga.
Wangapi tulikuwa tunasapoti Nyaraka za UJINGA WA AMSTERDAM? Narudia kusema hiviiiii HATA HAPA TANZANIA KUNA WATU INATAKIWA TUWASAFIRISHE WAUZWE KWENYE SOKO KULEE LIBYA
Umeongea kwa hasira sana. Hebu ongea kwa utulivu tukuelewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mababu zao akina 50 cent waliuzwa kwa wazungu. Wakina 50 wanamshukuru Mungu.
 
Wa kenya nao ni viherehere wanajifanya ni vibrant sana ktk ku hustle ndio kama hivyo sasa wana pigwa mnada.
 
Hizi ni “propaganda”za wazungu Mkuu wale jamaa wa Afrika Kaskazini “walivyostaarabika” hivi wanawezaje fanya kitu kama hiki? /s
 
Bora waethiopia Wana akili wanaenda sauzi.

Hao Wakenya wanaotaka kwenda ulaya ndo maana wanauzwa.
 
Wenyewe wanajiita Agressive, manina aggressive hadi wanapigwa mnada kama Ng'ombe
 
Kenya inanuka umasikini wa kutisha, mtu a naona bora tu akauzwe kama ng'ombe tu ili asife na njaa so sad 😢

Screenshot_20210112-080002~2.png
 
Back
Top Bottom