Hivi hawa watu wasiotaka kuvaa barakoa, condom wanaweza kuvaa kweli?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Nimejiuliza tu, mtu anaenda kwenye mkusanyiko bila wasi wasi kabisa, hajanawa mikono, hana barakoa wala sanitizer! Hivi kama anaweza kuwa na ujasiri huu kutokuvaa kitu kinacholinda maisha yake na ya wengine. Je, huyu anaanzanje kuvaa condom kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…