Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bandari wanauza magari bei kali kuliko hata mjapani aliyeyatengeneza.Ni bei halisi za used car huko japani ila mziki upo kwenye kuzifaulisha bandari.
kwa hiyo bora kununua ndinga kwa mtu?Hapo ukiisafirisha hadi Tanzania ongeza USD 1000 hafu kodi sasa bandarini kuitoa mbona utachoka.
Baada ya kuona gari online, angalua bei yake CIF ambayo ndio bei inayojumlisha hadi usafiri kufika port ya DSM kisha chukua specifications za iyo gari nenda website ya TRA kwenye calculator tools ujue ushuru utakao lipia. Kiwango utakachopata cha ushuru jumlisha na ile beinya CIF. Hapo ndio bei ya gari yako ata ikizidi haitazidi laki 2.
Aisee, kwote sio guaranteed ila hapa hapa Tanzania inatosha ila sio lazima showroom. Kwa mtu mkononi naona much cheaper.kwa hiyo bora kununua ndinga kwa mtu?
Ndio bei yake ngoma kulipia mapato na usajiliHebu ona kama haya..![]()
Au hizo bei ni huko kwao Japan?
Niliona Gari Japan dola 380; CIF dar ikawa dola 1,450; kwenda Tra ushuru wote dola 3,750. Jumla 5200 dola hizo.aah hzo bei mbona kubwa , Japan kuna gari zinauzwa hadi dola 100 yaani Tshs.;220,000
- issue ni kuitoa huko kuileta hapa bongo
anhaa sawaAisee, kwote sio guaranteed ila hapa hapa Tanzania inatosha ila sio lazima showroom. Kwa mtu mkononi naona much cheaper.
Ni kwa sababu ya mentality za kishamba, wanaona magari kama ni ufahari au kitu cha anasa sana. Akili zikikaa sawa upuuzi wote huu wa watunga sheria utapotea.bandari wanauza magari bei kali kuliko hata mjapani aliyeyatengeneza.
Nafikir ni mpango wa wapanga sera za Dunia iwezekan nchi zote maskini wakafanana akiri, fikiria miundo mbinu yetu ilivo kila kaya kama ikiwa na magar 2 au matatu ingekuwajeNi kwa sababu ya mentality za kishamba, wanaona magari kama ni ufahari au kitu cha anasa sana. Akili zikikaa sawa upuuzi wote huu wa watunga sheria utapotea.
Hili swali Mimi mwenyewe huwa najiuliza sana daily. Naona bei ziko chini saaana kuliko hali halisiHebu ona kama haya..![]()
Au hizo bei ni huko kwao Japan?
Kuna wkt huwa wanafanya 'clearance', gari zinauzwa hadi dola 50, kulisafirisha dola 800, bima dola 70, ukaguzi dola 200-300, hapo unapata jumla hadi linafika TZ. Kifuatacho, ushuru wa TRA. Bila kusahau gharama za bandari na wakala wa kulitoa. Unajikuta unacheua jumla milioni 7.5-10 kwa gharama yote.Hili swali Mimi mwenyewe huwa najiuliza sana daily. Naona bei ziko chini saaana kuliko hali halisi