Ya kweliHuwa napitia baadhi ya maoni ya wadau kadha wa kadha na kuona ishara ya watu kuwa wapo kwenye mahusiano. Swali je huwa ni ya kweli au mizaha ya kusogeza siku tu... ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mahusiano ya kweli kabisa kama Mimi na my wife Me tooHuwa napitia baadhi ya maoni ya wadau kadha wa kadha na kuona ishara ya watu kuwa wapo kwenye mahusiano. Swali je huwa ni ya kweli au mizaha ya kusogeza siku tu... ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pengine ni dume hilo???Tafuta Bwana uone kama ni kweli au uongo.
Hamna chief,si huwa nasoma maoni,na mimi si nina akili mzee,sasa nikiwa nalinganisha maisha ya humu na uhalisia wa kitaa,ndio huwa napata ukakasi na gagaiko kubwa sana. Kwa ufupi huwa napata wakati mgumu kulinganisha.yamekukuta
Chief machimbo yapo kitaa lukuki. Huku huwa tunapata taarifa tu ns kujadiliana masuala na kupata mitazamo mipya.
Kaka,umenikumbusha jambo,huwa najiuliza hivi watu humu huwa wanjuaje kama fulani amebadilisha utambulisho (ID). Hili somo huwa nalihitaji sana.
Elimu ya utambuzi wa vitu vya kawaida kuna tofauti kubwa sana kati ya mgeni wa jf na mwenyeji wa jf kuanzia lugha hadi upangaji wa maneno yakeKaka,umenikumbusha jambo,huwa najiuliza hivi watu humu huwa wanjuaje kama fulani amebadilisha utambulisho (ID). Hili somo huwa nalihitaji sana.
Sent using Jamii Forums mobile app