Hivi haya makampuni hayana wazee wa busara

E="balibabambonahi, post: 21406637, member: 282931"]Nimeiona mkuu ,mambo ya ulimate faith kama kwa Carter v Boahem huko Sumatra mkuu.Silence becomes fraud hahahaha[/QUOTE]
Hahah acacia kama contener zao walikatia bima ndo apo inakula kwao pia bima hailipi maana kumeshatokea fraud za kutosha.misrepresentation.mambo yakudisclose material fact
 
Aisee tangazo la TTCL inaonekana si la kweli! Kuna sehemu nimesoma wao kushirikiana na TCRA wanamtafuta huyo aliyeanzisha hilo tangazo. Sina uhakika maana niliposoma hakuna nembo rasmi za kampuni ila inasemekana tangazo si la kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…