Hivi haya mambo yapo??

Kakakiiza habari ya wewe mpendwa, nahisi unawachukia sana wanawake sijui wamekutendaje.
 
Kakakiiza habari ya wewe mpendwa, nahisi unawachukia sana wanawake sijui wamekutendaje.
Mbona hamjiamini hapa nionyeshe kilichokupa nguvu mpaka ukaona nawachukia wanawake au na wewe ume copy and pst??kwa DA??Kwa hiyo nisiandike kisa chochote kinachohusu mwanamke?kisa na wachukia wanawake?hii topic imelenga wanaume lakini viranfa vyenu mmeanza kunituhumu pasipokuwa na sababu yakufanya hivyo!!NYOTE MLIOTAMKA KAULI HIYO MMENIKWAZA SIJAPENDA WANDUGU!!
 
Unamaanisha kuwa wanaume wawili walifanya mapenzi na mwanamke mmoja kwa wakati mmoja? aka Sangi aka Orgy?
 
Maty, Dena, Husnyo, Rose1980 - naomba "hint" ya kwanini mnadhani KakaKiiza anajambo baya na akina Mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…