Hivi haya materials yanayoitwa epoxy yanapatikana Tanzania yetu hii?

Hivi haya materials yanayoitwa epoxy yanapatikana Tanzania yetu hii?

mnyongeni

Senior Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
141
Reaction score
24
habari, kuna video clips nimeziona youtube za kitu wanachoita epoxy. haya ni material unaweza mwaga kwenye floor au meza au viti na kufanya viwe na top kama ya glass. nauliza hapa Tanzania yanapatikana? wapi, na kwa bei gani kwa anayefahamu.
download (1).jpg

gg.jpg

images (1).jpg

images (2).jpg
 
Ndiyo bwana mnyongeni
Epoxy material yanapatikana.Ni Moja ya construction material ambayo tumeigroup kama flooring coatings,ziko material kama admixtures,waterproofing material n.k.Kama ni muhitaji wa hizo material njoo Tazara ndani ya kiwanda cha Bora karibu na tcc ulizia Somochem
 
Ndiyo bwana mnyongeni
Epoxy material yanapatikana.Ni Moja ya construction material ambayo tumeigroup kama flooring coatings,ziko material kama admixtures,waterproofing material n.k.Kama ni muhitaji wa hizo material njoo Tazara ndani ya kiwanda cha Bora karibu na tcc ulizia Somochem

Mkuu nahitaji hii material na fundi wa kuweka, je wapi naweza kupata.
Nataka kuweka kwa ajili ya ngazi
 
Mkuu nahitaji hii material na fundi wa kuweka, je wapi naweza kupata.
Nataka kuweka kwa ajili ya ngazi
Mkuu hizo materials zinapatikana, ukitaka kupata na fundi kabisa wacheki NaBAKI Africa hapo Mikocheni, Somochem hapo Buguruni Tazara kilipo kiwanda cha Bora au wacheki Tata holdings hapo Vingunguti.
 
Mkuu hizo materials zinapatikana, ukitaka kupata na fundi kabisa wacheki NaBAKI Africa hapo Mikocheni, Somochem hapo Buguruni Tazara kilipo kiwanda cha Bora au wacheki Tata holdings hapo Vingunguti.
Nashukuru sana kwa msaada wako, nitawacheki.

Yupi kati ya hao unanishauri ni wazuri
 
Nashukuru sana kwa msaada wako, nitawacheki.

Yupi kati ya hao unanishauri ni wazuri
NABAKI Africa wako njema zaidi ila muhimu kufanya comparison ya bei.Ila kuwa makini kwa kucheki expiring date ya hizo materials vizuri.
All the best
 
Back
Top Bottom